Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Waone kawaida tu hhhhaaaa ila aibuu
 
Tangu muapishwe Nov. 2015 mpaka sasa Sijaona Tz ya viwanda zaidi zaidi Tz ya matukio kila uchwao na mmetujenga raia kupenda umbea
 
Bar kila siku hiyo ni extremely too much, alafu basi angalau uwe unapita ila saa mbili uko nyumbani. Wengine wao ni mpaka saa 5 ndio anashawishika kurudi na ukute ashakula mbuzi wake huko anakuja kukuta sijui wali maharage ndio wala hagusi hiyo na chai asubuhi hanywi anakimbilia supu bar ndio aingie kazini.. Aisee haya maisha hapana, hata kama nyumbani ni kituo cha polisi si hivi.. Alafu wanaofanya hayo ina maana hata watoto wao hawawapendi na kuwapa muda? Litoto likifeli shule anaambiwa mama wewe unamdekeza dekeza.. Mtu unaogopa kuwa a family man sababu eti washkaji watakucheka na kuona umekamatika..

Daaah ila hapo kwenye red umenifanya nicheke sana.. Eti acha kuangalia movie za kifilipino πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
point maaa
ishu ni kuwaongoza watoto katika malezi mema.
 
Tangu muapishwe Nov. 2015 mpaka sasa Sijaona Tz ya viwanda zaidi zaidi Tz ya matukio kila uchwao,zaidi zaidi mmetujenga raia kupenda umbea
Ndio nchi yetu ilivyo. Izoee tu.
 
Wee hata usiseme, watoto wanaotoka familia zilizo njema kiuchumi nani kakwambia ndio wana maadili!! Hao ambao wazazi wako busy wanalelewa na mitandao!!! Tena mate chini.
 
Marriage is the strongest weapon your enemies can use to destroy you.. Hilo anatakiwa alitambue, Mkewe anatakiwa asimame nae imara sasa, mambo yakitulia ndio ampe adhabu stahiki..
 
Marriage is the strongest weapon your enemies can use to destroy you.. Hilo anatakiwa alitambue, Mkewe anatakiwa asimame nae imara sasa, mambo yakitulia ndio ampe adhabu stahiki..
Adhabu stahiki ni kibuti with immediate effect!
 
Duh hizi information za jikoni kabisa hizi. Unamaanisha jack alipiga picha za uchi na nsia swai au? Hebu tukumbushie hizo picha tudadavulie
 
Wee hata usiseme, watoto wanaotoka familia zilizo njema kiuchumi nani kakwambia ndio wana maadili!! Hao ambao wazazi wako busy wanalelewa na mitandao!!! Tena mate chini.
Mkuu sikumaanisha maadili, I meant kwa umri wao na aina ya maisha wanayoishi ni vigumu kumkuta akifatilia udaku.. Ila nimemuelewa gfsonwin mtoto anaweza akawa yuko huko instagram kwa mambo mengine ila accidentally akakutana na hizo videos na hapo ndio picha linapoharibika..
 
Na hata akifukuzwa hatokiiii chezea pesa wewe!! Pesa ni shenzi na nusu. Kapuku unamuacha tu dakika. Teh teh teeeh![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
To be honest wababa wengi ni ile mnajua mtoto amekula, ameenda shule, anavaa vizuri, anatibiwa, the rest ni kazi ya mama yake. Baba muda wote anawaza madeal, mtu hawazi hata kuna family time, mkae mzungumze mcheze, muwafundishe watoto wenu etc. Baba kila siku anarudi watoto wameshalala mmh. Sasa ndo ukute mama naye ana mambo mengi, basi mlezi mkuu anakuwa house gal. Sad
Mtu umeoa lakini still unataka kubehave as a bachelor. Ndo hayo "ooh nikirudi mapema washkaji watanionaje". Ujinga tu na kushikiwa akili, usioe basi uendelee kuwaplease washkaji

Wewe usicheke bana, juzi mtu anaongea wanaume wengi mnajisahau kwenye ndoa zenu, wake zenu wanahitaji sana attention yenu , mtu kajibu "baba ako alikuwa anakupa attention" mweee
 
Vipi kuhusu msando? Ye hatakiwi kutubu na kusali?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…