Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Mwenye biography ya huyu giggy money. Where is she coming from, apart from instagram what else is her occupation. Her education vitu kaa hivyo . what kind of air is she breath in?
Gigy mkuu ni mtu wa ajabu ajabu tu , maana kuna siku alihojiwa kuhusu elimu na maisha yake alijubu very polite mpaka machozi kumtoka, anadai mama ake nae alikuwa malaya pia maana kwao kila mtoto na baba ake, amesoma mapka form four tu, baba ake aliikataa mimba yake, mama alitaka kutoa mimba ila aliogopa baada ya siku ya kutaka kuitoa mimba hospital akakutana na marehemu aliefariki kwa utoaji mimba, anadai yeye alizaliwa chooni mama ake alipata uchungu gafla akiwa anajisaidia, anadai alianza kujiuza mapema ili kutoa msaada wa matumizi ya kifamilia, alijiuza kwa mzee tajiri ili aweze kulipa deni la benki mama ake alilokuwa anadaiwa, alienda kukopa mzee akamwambia ampe uchi wamalizane nae akaongeza dau la mkopo lilikuwa dogo ila la kulala na huyo mtu akadai kubwa na likatekelezeka, Gigy ni mtangazaji wa kituo cha radio, Gigy anadai hajui idadi ya wanaume aliolala nao ila andai huwa anasikia raha ya ajabu anavyofanya matusi, huyu ndio Gigy kwa ufupi.
 
Na hata akifukuzwa hatokiiii chezea pesa wewe!! Pesa ni shenzi na nusu. Kapuku unamuacha tu dakika. Teh teh teeeh![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Haha akufukuze uende wapi sasa, na mjengo umuachie nani?, labda aondoke tu mwenyewe[emoji13] [emoji13]
 
Duh hizi information za jikoni kabisa hizi. Unamaanisha jack alipiga picha za uchi na nsia swai au? Hebu tukumbushie hizo picha tudadavulie
No.. Nsia alikuwa mchumba wa Albaert na walikuwa wanawania ndoa wote yeye na Jack, wakawa maadui ila msando akachomoa kwa Nsia kimyakimya baada ya picha za nsia kuvuja, sasa picha zake ndio zinavuja bampa to bampa.
 
Hawa watoto wetu wa siku hizi wanavyopenda ubuyu, hakuna wa ushuani wala wa tandale. Watakutana nazo tu kwa watu waliowafollow, hakuna usalama tena.
 
hehehehehehe hilo jibu si zuri hata kidogo ila linachekesha sana.. Wanaume walevi wana majibu kweli kweli.. Kuna siku nilikuwa napata pombe na rafiki zangu waliooa nikawa sasa nawahoji hivi mnarudije nyumbani kila siku chakali tena usiku mnene na weku zenu wakawaelewa, jamaa wakanijibu "yaani ile unaingia nyumbani tu unapitiliza chumbani na kuanza kumgomea mkeo out of nowhere, mara chakula, mara mbona garden naona inakufa hapo mke wala hapati tena muda wa kuuliza ulikuwa wapi" daaah nilibaki nacheka tu..
 
Vipi kuhusu msando? Ye hatakiwi kutubu na kusali?
Betho sio kwamba hatakiwi kusali hapana......
ila apo ni lazima mkewe aanze kama akipata iyo neema hii ni kwasabb maandiko yako wazi hayadanganyi kwamba

mwanamke atamlinda mwanaume.

tena sasa Jack atubu kwaajili yake kisha kwaajili ya mumewe afu aanze kulipa madeni katika ulimwengu wa roho. asitake eti kujimwambafai atachemka. mpaka mumewe amuone Mungu kwake aambatane nae aseme hakika nimemuona Mungu kwake.
mambo ya kiroho ni magumu sana ila ni kwa Neema tu tunapata kuyajua
 
Mtoto akifeli ataambiwa mjinga kama mama yake, mtoto mpumbavu si ni mzigo wa *****!!

Jitahidini tu kutetea michepuko na maujinga mkidhani kuna mtu mnamkomoa zaidi ya familia zenu, yakija kuwekwa wazi hivi ndio aibu hadi kwa mke na watu wanaanza kufukua hadi yaliyokufa, mitandao siku hizi haina jema.
Mtoto anapita anajisomea kila kitu kuhusu wazazi wake. Then kesho na keshokutwa utamzuia nini akuelewe kwa mfano!! Anafuata tu nyayo labda neema ya Mungu ipite.
 
Ndio haya sasa ya kuaibishana acha waone haya tu maana wanayataka wenyewe wanawaumiza vijana innocent wenye mapenzi ya kweli kisa hawana pesa wanakimbilia pesa ndio haya sasa.
Kuolewa ni bahati jamani, sasa wote mkitukimbia sisi wenye fedha tutamuoa nani![emoji12]
 

Haha ndo ndoa zetu hizo. Afu ukute mke usingizi hauji kwa hofu maskini hadi mume arudi.
Sasa you can imagine baba wa hivi anaspend time na watoto wake saa ngapi. Aisee bond ya mtoto na baba haijengwi kwa kumlipia school fees.
 
Duh hizi information za jikoni kabisa hizi. Unamaanisha jack alipiga picha za uchi na nsia swai au? Hebu tukumbushie hizo picha tudadavulie
Please let Nsia Edmund Swai out of this.
Nsia ni mmachame alijua wazi kbs kwamba hawez kuolewa na mwanaume wa kibosho. wala hata nyumba hawajengi kuelekea kiboosho so alikuwa anapita tu na yy hakumaanisha waoane bhanaa...
ata yale mapicha hakutuma yy.
 
Tusikurupuke kumshambulia Alberto. Kwa maelezo ya Gigy kwenye hiyo screenshot yanaonesha ni jinsi gani Gigy alivyo KIAZI na MBURULA.
SHENZAOOO
 
nadhani wanawake mnalakujifunza zaidi katika mapenzi kushinda mapenzi yenyewe nawaone huruma sana dada zangu wakipindi hiki cha digital yaani for your stronger hearts mmekuwa mkiangua chini ya bazazi na wanaume wanyama but wengi wakiamua kuongea na mioyo yao kwa ukaribu hutakuja kuona msichana mrembo akitumika hovyo katika mapenzi
 
Hawa watoto wetu wa siku hizi wanavyopenda ubuyu, hakuna wa ushuali wala wa tandale. Watakutana nazo tu kwa watu waliowafollow, hakuna usalama tena.
Daaaah alafu ndio unamwona baba anachezea chezea hiyo nanii ya shangingi.. Sijui utamtia ushajaa dingi au utamtoa akili..
 
Wewe usicheke bana, juzi mtu anaongea wanaume wengi mnajisahau kwenye ndoa zenu, wake zenu wanahitaji sana attention yenu , mtu kajibu "baba ako alikuwa anakupa attention" mweee

Sasa unafikiri mtoto wa msando akiyashuhudia haya atatoa majibu ya aina gani suala kama hilo likija? Malezi tuwapayo watoto wetu leo ndio yanadetermine aina ya wazazi watakaokuwa kesho. Basi ulipitia malezi ya hovyo hovyo omba neema ya Mungu ikusaidie katika kuyaishi maisha yako na kujenga maisha bora ya familia yako.
 
Hao wanaume wa kujiombea wako wapi? Kila siku kutakaga tu kuombewa mtcheew
 
Aiseee alafu nasikia huko comment ni mbaya kinoma.. Sasa ukute mtoto ndio anazisoma na kuyajua afanyayo babake, aibu si aibu laana si laana..
 
Toooooba!!! Kumbe hata tusimlaumu jamani. Hadi huruma imeniingia ghafla.
 
Daàh WaTZ kama kawaida tunamtafutia jina baya mbwa ili apigwe na kila MTU.


Heshima kwenu.
 
Mdau uliyetoa bio ya giggy umetisha. Ni hali yetu ya maisha imepeleka yeye kujikuta kwenye lifestyle hiyo. Akijeleza anadai alikuwa anamfuata lily mawala (Is she another pimp in TZ) ndio amkonect na msando

Lots of wingman and wingwomen nowdays . udalali mpaka kwenye papuchi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…