hatuataweza kukujibu maswali magumu kiasi hichi sisi timu mondi bwana hatuoni hatusikii. Tumekuwa wapofu hatuoni ukweriSasa huo wimbo wa PaPa ukikaa na wazaz au watu wanaojiheshimu utaweza kusikiliza kweli..seduce me kila rika wanasikiliza
ComedySerious!!!???
Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA[/QUOTE
well said mkuu...... kula makandee hapo gengeni nakuja lipia mkuu....
NA WEWE NA KAMBWA KAKO KA BONGO MOVIE HAKA KANACHEKESHA NA HILO JICHO LA NYODObila shaka kabisa "nampa k" ya giggyy ni mwisho wa reli kigoma hapo hakuna hata kuuliza
Team uchiTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
mkuu au hutumii makande aiseee.....ππ[emoji23][emoji23][emoji23]
meno mabovu[emoji23]mkuu au hutumii makande aiseee.....ππ
Hahah basi mkuu kunywa juisi ya miwa nakuja kulipia hapo...meno mabovu[emoji23]
nakunywaaHahah basi mkuu kunywa juisi ya miwa nakuja kulipia hapo...
kunywa basi mama...... nitaku PM vocha ya thamani ya hiyo juiceπ so uniambie mtandao wako pendwanakunywaa
[B ] Najiulizaga maneno ilo PAPA la GIGY MONEY litakuwaje? Limechanika kama tambara la dekioUsifananishe papa na vitu vya kijinga
[emoji23] Tigo japo ina utatA kwa waTzkunywa basi mama...... nitaku PM vocha ya thamani ya hiyo juiceπ so uniambie mtandao wako pendwa
check your PM by tomorrow then....[emoji23] Tigo japo ina utatA kwa waTz
Diamond inabidi awe makini sana na huyu gigy .Gigy money ameonekana mara nyingi akimponda Alikiba nakudhihirisha zahiri kuwa yeye ni fan number one wa Diamond Platinumz, ila inasemekana kuwa Alikiba pamoja na mdogo wake aitwaye Abdukiba walishapita kimapenzi na msichana huyu Gigy Money.
KWA MUJIBU WA GIGY MONEY ANADAI PAPA NI KALI KULIKO SEDUCE ME. ANADAI KILICHOMBEBA KINGKIBA NI KUWA MSANII MKUBWA NA KUKAA KWA MUDA MREFU BILA KUTOA NGOMA.
JE, WEWE UNAONAJE?? MSIKILIZE VIZURI THEN DROP COMMENT YAKO