Gigy Money asema wimbo wake wa Papa zaidi ya Seduce me ya Alikiba

Gigy Money asema wimbo wake wa Papa zaidi ya Seduce me ya Alikiba

Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa

Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.

mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Wimbo mkali sana ila haufai kuimbwa na kidume.
 
Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa

Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.

mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Wimbo wa papa ni mzuri kwa sababu tatu

1.Beat Kali
2.maana yake imekaa kingono na watz tunavyoipenda hahaaaa
3. Jamaa aliyeimba kibwagizo ameipa uhai

Video sio Kali kiivyo aseee

Ila seduce me ni wimbo mkali kwa beat , sauti , chorus ,video ila ina mashairi mepesi lakini ndo vile nyimbo za kiplay boy huwa

Mwisho wa siku gigy amejitahidi sana maana at least kapata hit song moja
 
Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa

Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.

mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Naunga mkono hoja
 
Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa

Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.

mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
wewe nikikuomba papa utanipa?? hahaha

[HASHTAG]#Utani[/HASHTAG]
 
Kiukweli kabisaa tukiachana na mambo ya u-team, PAPA ni ngoma Kali mnooooo domo na king wote hawatii mguu
 
Kitu PAPAAAAAAA.
wanasemaga anapenda sana samaki we mpatieee
Nampa papaaaaa

Sangara kibua haitoshi we mpatieee
Nampa papaaaa.
 
Sasa huo wimbo wa PaPa ukikaa na wazaz au watu wanaojiheshimu utaweza kusikiliza kweli..seduce me kila rika wanasikiliza


By the way, mimi ninajiheshimu sana lakini bado naupenda huu wimbo. Halafu, sio watu wote bado wanaishi kwa wazazi kama wewe.
 
Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa

Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.

mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naimani unatania mkuu..ah ah ah
 
By the way, mimi ninajiheshimu sana lakini bado naupenda huu wimbo. Halafu, sio watu wote bado wanaishi kwa wazazi kama wewe.
Tofautisha kukaa na wazazi na kuishi na wazazi..kipi kinakupa uhakika kuwa naish na wazazi?
 
Back
Top Bottom