Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wimbo mkali sana ila haufai kuimbwa na kidume.Tukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usifananishe papa na vitu vya kijinga
Wimbo wa papa ni mzuri kwa sababu tatuTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Naunga mkono hojaTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
YesWimbo mkali sana ila haufai kuimbwa na kidume.
Anatafuta danga hapo wcbstory kutoka source ya uhakika kuwa gigy anashinda kwenye ofisi za wasafi daily
wewe nikikuomba papa utanipa?? hahahaTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Sasa huo wimbo wa PaPa ukikaa na wazaz au watu wanaojiheshimu utaweza kusikiliza kweli..seduce me kila rika wanasikiliza
Sitoi[emoji23]wewe nikikuomba papa utanipa?? hahaha
[HASHTAG]#Utani[/HASHTAG]
HaaaaaSitoi[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naimani unatania mkuu..ah ah ahTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
Niko serious[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naimani unatania mkuu..ah ah ah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aya bhana,mapenz upofuNiko serious
Tofautisha kukaa na wazazi na kuishi na wazazi..kipi kinakupa uhakika kuwa naish na wazazi?By the way, mimi ninajiheshimu sana lakini bado naupenda huu wimbo. Halafu, sio watu wote bado wanaishi kwa wazazi kama wewe.