Tofautisha kukaa na wazazi na kuishi na wazazi..kipi kinakupa uhakika kuwa naish na wazazi?
Hayacheck your PM by tomorrow then....
Ivi nyie mpo siriaz au mnataniaTukiacha ushabiki na ukongwe na overrate nk....
tukashindanisha seduce me vs Papa
Papa ya Gigy ni wimbo mkali jamani...
kwanzia Melody ,video mashairi
wimbo umesimama kwakweli.
unaeza sikiliza papa kutwa nzima ,seduce me ina overrat-iwa tu lakini sio wimbo mkali kabisa.
mnyonge mnyongeni jamani pamoja na mapungufu yake mengi ya kibinaadamu ila Sangara,kibua kama kuna mtu alimtungia aendelee WIMBO MKALI SANAAA
seriousIvi nyie mpo siriaz au mnatania
Papa ni bonge la pumbu
Uko sahihi usemacho...Papa mzur sana leo nmeuskiliza siku nzima ni kweli anachosema gigy ni vle watu huwa wanamdharau bas na.nyimbo zake wanazidharau
Comment yako ina tufanya tuamini unaishi kwa wazazi.Tofautisha kukaa na wazazi na kuishi na wazazi..kipi kinakupa uhakika kuwa naish na wazazi?
Ndo akili yako ilipoishia katka ushaurAiseee, basi na yeye asitoe ngoma kwa kipindi kirefu
Kumbe mmmnh nlkuwa cjui ila cc tunauangalia una maadili tyu au tuna macho ya tofaut maana basata wangefungiaSasa huo wimbo wa PaPa ukikaa na wazaz au watu wanaojiheshimu utaweza kusikiliza kweli..seduce me kila rika wanasikiliza