Gigy Money: Nimeshatembea na Kiba, Mavoko na Hemed PhD, walinitongoza instagram

Gigy Money: Nimeshatembea na Kiba, Mavoko na Hemed PhD, walinitongoza instagram

Anajua kutumia fursa,kawekeza kwenye io mbunyee hatare
 
500,000/= per day [emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50],kama kweli aisee akafanye shopping kwanza sio kutuvalia michupi yake ka fuko la mashine....amuoni Vera mwenzie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.

Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
Maskini namuonea huruma huyu binti kuna siku akikumbuka haya aliyoyasema atajilaumu sana! Hivi anafikiri maisha ni leo! ? Awaulize kina miss Kilonzo Dokii n the like
 
wa kinukta siku hizi hauzi...ila msela alimlamba kwa laki nne
Nlishawahigi kusikia dau lake ndiyo hilo walau umenithibitishia. Y kaacha biashara kama ilikuwa inamuingizia kipato kizuri?
 
Back
Top Bottom