Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇

Gilead Teri 1.PNG



View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19


My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.👇👇


Pia soma Dollar yaanza kushuka kwa kasi
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇

View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19

My Take
Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.

Sawa lakini kwanini GDP inatembea mwendo wa kobe?
 
Sawa lakini kwanini GDP inatembea mwendo wa kobe?
Toka Samia amekuwa Rais GDP imeanza kujitahidi,Kwa Sasa tuko around 5.5% growth.Ametoka $70bln 2021 Hadi $85bln 2024 so sio mwendo mdogo sana.

Hata hivyo uwekezaji unachukua mda Hadi kuanza kuleta matokeo ni wastani wa miaka 3-4 so matokeo yataanza kuonekana Kwa Kasi pengine kuanzia 2025.

Mwisho Waziri wa Nishati alisema majizi kwamba uptake ya umeme imeongeza sana mwaka Jana kutoka wastani wa megawatt 1400 Hadi Karibia 1900 yaani ongezeko la megawatt 400 ndani ya mwaka mmja,hapo manake uchumi unakua.

Sema size ya Uchumi wetu haiendani na Kodi inayokusanywa,Watanzania hatulipi kodi stahiki.
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇


View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19

My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.

Ila bongo bana!! Hv Kuna kipnd uchumi ulikuwa vzuri kuliko kipnd Cha mwenda zake?? Au ndio vile mkono uende kinywani
 
Toka Samia amekuwa Rais GDP imeanza kujitahidi,Kwa Sasa tuko around 5.5% growth.Ametoka $70bln 2021 Hadi $85bln 2024 so sio mwendo mdogo sana.

Hata hivyo uwekezaji unachukua mda Hadi kuanza kuleta matokeo ni wastani wa miaka 3-4 so matokeo yataanza kuonekana Kwa Kasi pengine kuanzia 2025.

Mwisho Waziri wa Nishati alisema majizi kwamba uptake ya umeme imeongeza sana mwaka Jana kutoka wastani wa megawatt 1400 Hadi Karibia 1900 yaani ongezeko la megawatt 400 ndani ya mwaka mmja,hapo manake uchumi unakua.

Sema size ya Uchumi wetu haiendani na Kodi inayokusanywa,Watanzania hatulipi kodi stahiki.
Hapo kwenye kodi ndio shida..
 
Wachaaa......weeee.......wawekezaji kutoka nje (FDI) hawajawahi kuendeleza taifa lolote zaidi ya kuchuma, kutunyonya, kukwepa kodi na kuondoka zao uwezeshwaji wa wafabiashara wa ndani ndo siraha yetu na injini ya uchumi wetu
Una uhakika au umelishwa matangopori na Rostam?
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇


View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19

My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.

Uchawa max pro, deng xiaoping ni level za kina nyerere huko, maybe zaidi ya nyerere.
Hao ni moja ya fore father wa modern china

Punguzeni sida zisizo na msingi

Yes anafanya kazi nzuri but sifa zisiwe too much
 
Uchawa max pro, deng xiaoping ni level za kina nyerere huko, maybe zaidi ya nyerere.
Hao ni moja ya fore father wa modern china

Punguzeni sida zisizo na msingi

Yes anafanya kazi nzuri but sifa zisiwe too much
Nyerere Aliwahi fanya kipi Cha maana kwenye Uchumi? Au kwenye literatures za Nyerere umewahi ona wapi falsafa za Uchumi zimeandikwa? Huna hata akili.

Samia ndio ataingia kwenye naratives za Uchumi wa Nchi hii,namba zinambeba Kwa kipimo chochote.

Mfano mdogo Toka Samia amekuwa Rais umewahi sikia Wananchi wanachangia hela ya dawati au kurundikana madarasani au kuingia shule Kwa mafungu kama nyanya?

Huna hoja na pengine hujui unachoongea.
 
Tutaishia kubishana tu hapa naomba nichague kubaki kimya tu ukweli mambo ni magumu wanaofanya biashara na serikali wanaujua jinsi wanavyosubirishwa malipo zaidi ya miezi 6 wengine wako mbioni kufunga biashara zao hakuna pesa za kuwalipa
Weka hoja sio Kuandika kama mjinga.

Kukopwa wazabuni kumeanza awamu ya mama?
 
Back
Top Bottom