Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66Nikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri,numesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae jazi sehemu,akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili kibatala alidai ana miaka 36,
Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka ,1989.kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaja miwili au mitatu?kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 6 mpaka 7
Kwa ninavyomfahamu alihitimu udsm 2006 imepita miaka 16.je unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19? Nadhani alipitiwa ,kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu,k wa uchache ana miaka 40
Kupitiwa kupoHAKUPITIWA Kaapa kuwa Atasema kweli kweli tupu Vipi ADANGANYE UMRI?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ahaa umemuonea hapo aliinzia zantel 2007 kama call cebter agent akaenda kwenye firn fulani ya sheria then The Guardian ndio akaebda AirtelAmemaliza Udsm 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Alisema yeye mwenyewe mie hata simfahamuAhaa umemuonea hapo aliinzia zantel 2007 kama call cebter agent akaenda kwenye firn fulani ya sheria then The Guardian ndio akaebda Airtel
Unaushahidi gani ndugu.Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Alimaliza 2006Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Hata mie inanijia jia icho ukisemacho,kuna muda alisema nilianza kazi 2003 lakini chuo nimemaliza 2004,lakini kila nikipiga hesabu zile za daras la saba za umri hesabu zinanikatalia.....Nikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri, nimesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae kazi sehemu.
Akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili Kibatala alidai ana miaka 36, Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka 1989.
Kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaka miwili au mitatu?
Kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 6 mpaka 7
Kwa ninavyomfahamu alihitimu UDSM 2006 imepita miaka 16. Je, unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19?
Nadhani alipitiwa, kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, kwa uchache ana miaka 40
Najaribu kufikiria jinsi ulivyo burudani kwa watoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Carbon 14 inatakiwa ifanye kazi yake
Kwamba mwigulu ana miaka 80🤣Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Msimamo wake wa kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, ndio upande gan tuanzie hapoNikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri, nimesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae kazi sehemu.
Akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili Kibatala alidai ana miaka 36, Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka 1989.
Kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaka miwili au mitatu?
Kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 6 mpaka 7
Kwa ninavyomfahamu alihitimu UDSM 2006 imepita miaka 16. Je, unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19?
Nadhani alipitiwa, kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, kwa uchache ana miaka 40
Kuna mcheza mpira mmoja aliwahi kusema alizaliwa 1990 wakati mama yake mzazi alifariki 1986.Ninakumbuka kipindi cha UK Border Control, jamaa ametoka Nigeria ameifika airport anasema amesahau umri wake. Wazungu walimchana pale pale huu ni uwongo.
Halafu ni mwanasheria.Amebabaika shauri ya "kichapo" cha maswali heavy kutoka kwa Kibatala &coy!Hivi,kwa nini hawa watu sampuli ya Gladys wanakubali kutumika kwenda kutoa ushahidi wa uongo?Watu wenye majukumu ya kifamilia na kijamii wakifungwa wenyewe watapata nini?Tuhela wanatolipwa?Aibu na dhambi kubwa sana.Nikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri, nimesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae kazi sehemu.
Akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili Kibatala alidai ana miaka 36, Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka 1989.
Kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaka miwili au mitatu?
Kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 6 mpaka 7
Kwa ninavyomfahamu alihitimu UDSM 2006 imepita miaka 16. Je, unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19?
Nadhani alipitiwa, kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, kwa uchache ana miaka 40
KabisaaHata mie inanijia jia icho ukisemacho,kuna muda alisema nilianza kazi 2003 lakini chuo nimemaliza 2004,lakini kila nikipiga hesabu zile za daras la saba za umri hesabu zinanikatalia.....Nimeamini vingi tusoma vyo shuleni msingi ama secondary vinaumuhimu sana katika mifumo yetu ya maisha