Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
😂😂😂😂Kuna mcheza mpira mmoja aliwahi kusema alizaliwa 1990 wakati mama yake mzazi alifariki 1986.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kuna mcheza mpira mmoja aliwahi kusema alizaliwa 1990 wakati mama yake mzazi alifariki 1986.
Mawaziri nao Wana tuhuma za kurogana-Makamu wa raisMsimamo wake wa kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, ndio upande gan tuanzie hapo
Fumba macho u-guess!Nani anaweza kuwa mdhalimu.Msimamo wake wa kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, ndio upande gan tuanzie hapo
Gladys mara ya kwanza mwezi november alikataa kuja kutoa ushahidi maana mama yake alimzuia mpaka presha ikapanda,this time wamemshurutisha dada wa watuHalafu ni mwanasheria.Amebabaika shauri ya "kichapo" cha maswali heavy kutoka kwa Kibatala &coy!Hivi,kwa nini hawa watu sampuli ya Gladys wanakubali kutumika kwenda kutoa ushahidi wa uongo?Watu wenye majukumu ya kifamilia na kijamii wakifungwa wenyewe watapata nini?Tuhela wanatolipwa?Aibu na dhambi kubwa sana.
Sasa,subiri wavune wanachopanda.Maana Gladys alivyokuwa anajibu utadhani si msomi na ni kama alikuwa absent-minded kizimbani.Kwa namna hiyo,majibu yake yaliongozwa na dhamira kuliko alichofundishwa/alichoelekezwa/alichokaririshwa kushuhudia.Pole sana kwake kama ndivyo ilivyo.Gladys mara ya kwanza mwezi november alikataa kuja kutoa ushahidi maana mama yake alimzuia mpaka presha ikapanda,this time wamemshurutisha dada wa watu
Kabudi, mkuchika na lukuvi ni wazee hasa kabudi aliyefoji Hadi cheti Cha form four anashindwaje kufoji umri?Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Kuna mwingine alidanganya kazaliwa 1998 Akapata msiba wa pacha wake. Kwenye mazishi msalaba ukaonesha kazaliwa 1988. Yani mapacha wanapishana kwa miaka 10Niliipata hiyo west afica huko. Samuel Etoo naye hivyohivyo kuna siku mourinho aliquestion umri wake wakati ni kocha wake pale chelsea
Mwigulu sidhani kama umri wa miaka 50 amekwisha ifikia. Ila ni kweli wa TZ wengi wanadanganya katika umri.Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
MhNikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri, nimesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae kazi sehemu.
Akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili Kibatala alidai ana miaka 36, Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka 1989.
Kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaka miwili au mitatu?
Kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 6 mpaka 7
Kwa ninavyomfahamu alihitimu UDSM 2006 imepita miaka 16. Je, unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19?
Nadhani alipitiwa, kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, kwa uchache ana miaka 40
Gwarugwe!Najaribu kufikiria jinsi ulivyo burudani kwa watoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa kiapo kinawafunga wangekuwa mabubuHAKUPITIWA Kaapa kuwa Atasema kweli kweli tupu Vipi ADANGANYE UMRI?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ahaaa.mimi nilikutana binti mrembo nimempita miaka 15 nilishusha miaka 7 ili ibaki 8 nikihofia angeniona mzee,bahati mbaya penzi likanoga nusura nimuoe ,hivi ningemuoa sijui angenifikiriaje maana siri ingefichukaMwigulu sidhani kama umri wa miaka 50 amekwisha ifikia. Ila ni kweli wa TZ wengi wanadanganya katika umri.
Mimi kuna mtu wangu wa karibu sana ambaye nilimsimamia harusi yake, ambaye siku zote nilijua mimi ni kaka yake na alikuwa aliniamkia. Alijishusha umri kwa miaka 8 hivi.
Alipofiwa na baba yake nilimsindikiza kijijini kwao. Duh! Nilipofika huko nilipigwa na butwaa, kumbe mdogo wake wa tatu ndiyo tulikuwa na umri sawa na mimi! Na hata upande wa majina alikuwa amechapia pia, kwa kuwa alikuwa amerudia shule ya msingi mara tatu mpaka alipokuja kufanikiwa kufaulu na kupata elimu yake ya sekondari na hatimaye "advance diploma' ya wakati huo pale Mzumbe.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wacha waaibikeHalafu ni mwanasheria.Amebabaika shauri ya "kichapo" cha maswali heavy kutoka kwa Kibatala &coy!Hivi,kwa nini hawa watu sampuli ya Gladys wanakubali kutumika kwenda kutoa ushahidi wa uongo?Watu wenye majukumu ya kifamilia na kijamii wakifungwa wenyewe watapata nini?Tuhela wanatolipwa?Aibu na dhambi kubwa sana.
Una uhakika kuhusu Kabudi?Kabudi, mkuchika na lukuvi ni wazee hasa kabudi aliyefoji Hadi cheti Cha form four anashindwaje kufoji umri?
Una uhakika kuhusu Kabudi?Kabudi, mkuchika na lukuvi ni wazee hasa kabudi aliyefoji Hadi cheti Cha form four anashindwaje kufoji umri?
Kabudi wakati anachukuliwa kuwa Waziri alikuwa ameshastaafu pale UDSM ni mwalimu wangu huyo.Una uhakika kuhusu Kabudi?
Atakuwa na miaka 40,41 au 42 kama alianza darasa la 1989 na sio vingine,wengi wetu walibadili miaka wakati wakuingia chuo kikuuNikiri tu kuwa namfahamu huyu shahidi vizuri, nimesoma nae shule ya msingi na nikafanya nae kazi sehemu.
Akihojiwa jana kwenye cross examination na wakili Kibatala alidai ana miaka 36, Tulianza darasa la kwanza pamoja mwaka 1989.
Kudai kuwa ana miaka 36 ina maana kazaliwa mwaka 1986/1985 je alianza darasa la kwanza na miaka mitatu?
Kwa darasa letu wengi tulianza na miaka 7 mpaka 9
Kwa ninavyomfahamu alihitimu UDSM 2006 imepita miaka 16. Je, unaweza kuhitimu degree ya sheria ya miaka minne ukiwa na miaka 19/20?
Nadhani alipitiwa, kwa sababu nafahamu msimamo wake kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, kwa uchache ana miaka 40
NakaziaAmemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66