Nadhani alijibu vile makusudi kukwepa maswali mengine kama angejibu kuwa anaijua chain of custody
Looh pole yakeGladys mara ya kwanza mwezi november alikataa kuja kutoa ushahidi maana mama yake alimzuia mpaka presha ikapanda,this time wamemshurutisha dada wa watu
Utaitwa "mzee Toboa-tobo"!😝😝😝Jamani naomba niwambie mwambieni Huyu demu aseme ukweli la sivyo ntasema kweli tangu nimeanza kumdate mpka leo na nn ninemfanyia ikumbukwe mpka kalio.......
Na wewe wa wakati huo unasema "Advance Diploma" badala ya "Advanced Diploma" !!??Mwigulu sidhani kama umri wa miaka 50 amekwisha ifikia. Ila ni kweli wa TZ wengi wanadanganya katika umri.
Mimi kuna mtu wangu wa karibu sana ambaye nilimsimamia harusi yake, ambaye siku zote nilijua mimi ni kaka yake na alikuwa aliniamkia. Alijishusha umri kwa miaka 8 hivi.
Alipofiwa na baba yake nilimsindikiza kijijini kwao. Duh! Nilipofika huko nilipigwa na butwaa, kumbe mdogo wake wa tatu ndiyo tulikuwa na umri sawa na mimi! Na hata upande wa majina alikuwa amechapia pia, kwa kuwa alikuwa amerudia shule ya msingi mara tatu mpaka alipokuja kufanikiwa kufaulu na kupata elimu yake ya sekondari na hatimaye "advance diploma' ya wakati huo pale Mzumbe.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisaYes. Nadhani hivyo pia. Anaweza kuijua kama dhana kwa nadharia tu lakininsionkwa kuifanyia kazi. Sasa angejibubkuwa anaijua halafu maswali ya kiutendaji yakaja angefeli.
Itoshe kujua tu kuwa sheria ni field pana sana. Na yeye akiwa mwanasheria wa ndani anaweza kuwa hafanyi litigation (yaani kesi za mahakamani) sana hasa za namna hii.
Hilo linamfanya kutojua kwa vitendo dhana (concept) zinazotumika kwny field ya litigation ambayo sio eneo analolifanyia kazi kbs.
Huyu shahidi hakuwa na confidence tu japo kiroho alikuwa anatimiza wajibu wake tu sio kama wale askari watekajiHuyu shahidi mnamshambulia tu.
Yeye katimiza wajibu kisheria ya kampuni lake.ukifuatilia majibu take,dhahiri alikuwa anatimiza wajibu tu,kiroho haungani na mashitaka.
Si kila shahidi wakumshambulia
Tuambie ana mingapi?Hakudanganya?Kwamba mwigulu ana miaka 80🤣
Yes alizungumza hivo wakati wa kampeni Uchaguzi mkuu 2020 mbele ya JPMNimewahi kumsikia Kabudi kwa masikio yangu alisema yeye ni Mgogo kwa baba yake Sasa lini aliukataa ugogo wakati hata majina yake yanaonyesha yeye ni Mgogo?
Mwaliko ni Wagogo asilia.
Kuhusu kuwa makamu mkuu wa chuo St. John's kwani lazima akubali kila task?
Lakini yeye ni miongoni mwa Alumni Tena mwenyekiti wa St. John's maana anaijua vema historia ya uanzishwaji wa kile chuo na yule mzungu Padre.
Tozo zinaendesha vitu vya ajabuajabu halafu gharama za ujenzi wa vyoo tunakopa natutaendelea kukopa huku tembo wakiwa wengi hadi wanaua binadamuWakili msomi:ulikula chipsi
Shahidi: ndio
Wakili msomi:Ilikua na mayai au
Shahidi ilichanganywa sijajua.
Wakili msomi:mayai yalikuwemo.
Shahidi:sikuyaona.
Wakili msomi: waliweka tomato sauce.
Shahidi:ndio
Wakili msomi: je baada ya kula uliharisha.
Shahidi:ndio tumbo liliuma.
Wakili msomi:Alafu uliharisha kiasi gani gramu ngapi,nusu kilo,robo au kilo😔.
Wakili huyo,kumbe ni fala mmoja tu aliyeotea chimbo anakula tu,kuvimbiwa kavimbiwa.
Futeni hiyo kesi.
Atakuwa mama mlezi huyo!Kuna mcheza mpira mmoja aliwahi kusema alizaliwa 1990 wakati mama yake mzazi alifariki 1986.
huenda kadanganya,ila Mwigulu hajafika 60 mkuuTuambie ana mingapi?Hakudanganya?
labda mbuzi wa mjini maana hawali bila kamba shingoniMsimamo wake wa kisiasa hayupo upande wa wadhalimu, ndio upande gan tuanzie hapo
We T.....wewe ndo nini kuanza kutoa izi siri apaAhaaa.mimi nilikutana binti mrembo nimempita miaka 15 nilishusha miaka 7 ili ibaki 8 nikihofia angeniona mzee,bahati mbaya penzi likanoga nusura nimuoe ,hivi ningemuoa sijui angenifikiriaje maana siri ingefichuka
Aisee wewe umeona mbali. Shida ya watu wengi hawasomi zile "cross examination" kwa umakini. Inaonekana dada wa watu alikuwa pale kizimbani basi tu afanyeje .Huyu shahidi mnamshambulia tu.
Yeye katimiza wajibu kisheria ya kampuni lake.ukifuatilia majibu take,dhahiri alikuwa anatimiza wajibu tu,kiroho haungani na mashitaka.
Si kila shahidi wakumshambulia
Kwa mkuchika unamuonea, nimemaliza nae primary nwaka 2004Amemaliza UDSM 2003 na kaanza kazi Airtel 2004 maanake alianza kazi akiwa na miaka 18, watanzania wengi wamefoji umri, akina Lukuvi, Kabudi, Mkuchika, Mwigulu n.k hawakosi 80+ lakini wanadanganya 66
Pengine huyo ni mama yake wa KIROHO, lazima ukumbuke kuna kuzaliwa mara ya piliKuna mcheza mpira mmoja aliwahi kusema alizaliwa 1990 wakati mama yake mzazi alifariki 1986.