Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Elimu panaI usually DON'T WATCH SH****!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu panaI usually DON'T WATCH SH****!
Nimekuita zuzu kwa kuwa mkutano aliokwenda kuhudhuria ni false flag na ulipaswa kulijua hili,sasa badala take unamsifia.Uzuzu uko wapi hapa au ni upi!? Mimi kumsifia Rais wangu ni uzuzu, ulitaka nimsifie nani - Tobo, mkimbizi wa kisiasa au Gaidi Mwenyekigoda!?
OK!Elimu pana
Tunaomba uthibitisho
www.forbes.com
Mkuu uzuzu unatoka wapi, au kuuliza imekua kosaKwa mtu diagnostic, eager to learn this is common knowledge.Siko tayari kutafunia mtu mzima vitu ambavyo anapaswa kujua.Utanisamehe,I do not have time for that.Kaa na uzuzu wako,amini unachoamini.
Huyo ni Nani mpaka umuamini?Anzia hapa👇 kama kweli una nia njema ya kujifunza sio karai la zege.
![]()
The Goal Is Power: The Global Warming Conspiracy
James Delingpole's new book exposes man-made global warming as a fraud -- one that has cost billions of dollars and threatens liberty, democracy and the environment itself.www.forbes.com
No ulivyo uliza mkuu ilikuwa kama command,na si kama mtu ambaye alitaka kujua.Unajua mkuu JF kumejaa watu wa ajabu sana,ndio maana tunakuwa defensive at times.Mkuu uzuzu unatoka wapi, au kuuliza imekua kosa
Huyo ni Nani mpaka umuamini?
Typical of JF.Nilijua hiyo itakuwa ndiyo reaction yako. Anyway,singeweza kuleta links zote,hiyo ni sample.Hatupo hapa kwa mashindano hata hivyo,amini unaçhotaka kuamini.Huyo ni Nani mpaka umuamini?
Great mind discusses ideasHuwa anaongea kama mtu mwenye presha.
Ok miafrika ndivyo tulivyoNo ulivyo uliza mkuu ilikuwa kama command,na si kama mtu ambaye alitaka kujua.Unajua mkuu JF kumejaa watu wa ajabu sana,ndio maana tunakuwa defensive at times.
Kujenga nchi si lelemamaTypical of JF.Nilijua hiyo itakuwa ndiyo reaction yako. Anyway,singeweza kuleta links zote,hiyo ni sample.Hatupo hapa kwa mashindano hata hivyo,amini unaçhotaka kuamini.