heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Fundi MaikoKuna kigorofa pale bunju b stend.
Kinajengwa kila nikipata uwa sikaamini hata kidogo.
Ujenzi wake NI wa kufunga unga Sana.
Hili ni la biashara, hapa alishapiga hesabu za mbali kwa frame.Vijana wa Dar Bwana! Ka mshahara kakipanda kidogo tu ! Ohoo najenga Ghorofa Goba!
Sasa hiyo ni Ghorofa, nguzo zina nondo za mm 12!!
Usisahau kuongeza TBA na vyuo kama DIT na UDSM.Natoa pole kwa wafiwa na wananchi wa kata ya #Goba kufuatia vifo vya watu wanne vilivyosababishwa na kuanguka kwa ghorofa lililokuwa linaendelea kujengwa katika kata hiyo.
Uchunguzi wa tukio hili zisiachiwe mamlaka za #WilayaYaUbungo bali uhusishe CRB, ERB, IET, AQRB na TISS.
Hujamuona mama hapo anapiga ukunga😅?Kama Mwenye Jengo ni Mchagga kwavyovyote atakuwa anawaza hela yake iliyotumika na Sio hao watu walioangamia huko. Yaani mkimuona anakuja na kupiga makelele kwa kulia ' Yethu wangu, Yethu Wangu" . mjue analilia Mali zake tu na Sio vinginevyo.
Bwashee Mungu anawaona
Kwahio kama la biashara ndo linatakiwa kuwa substandard sio?Hili ni la biashara, hapa alishapiga hesabu za mbali kwa frame.
Hujaona vaccum iliopo baina ya floor na msingi! Yani ni kama hapakushindiliwa vizuri watu walijaza kifusi tu bila kukishindilia😅...”Ghorofa la Mchongo”Msingi ume overturn
Hio ndio ile unaambiwa nondo za milimetre 12 ndio zinatakiwa ila unakuwa tight on budget! Fundi anasema hata tukitumia za 9mm tunaweza tukafosi na zege jingi haina shida😅Kweli jamani
Hizo nondo mbona kama kibanda changu cha kuku?
Kweli mkandarasi anaponaje hapo?
View attachment 2035159
Mkandarasi hana shida sana maana yeye anafwata mchoro na maelekezo ya mhandisi!Natanguliza poleza za dhati kwa wa hanga wa tukio hilo. MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Majeruhi GET WELL SOON.
NANI ALAUMIWE KWA HILO?
....Mwenye Jengo!!!?
....Fundi/mkandarasi au
.....majirani ambao ndio wahaga zaidi.
NIKIWA KAMA MDAU WA UJENZI
Ningependa nitoe ushari huu ...
CHEAP IS EXPENSIVE
DEDICATION KWA CLIENT WOTE WAPENDA DEZO
Jamaa kafosi liwe ghorofa baada ya kuona wenzie wote wanajenga vighorofa vya floor moja moja😅Kila siku napita hili eneo. Juzi tu nimetoka kusema hili ghorofa, mm siliamin kabisaa.
Iko hivi.
Hilo jengo lillianza kuinuliwa kuwa ghorofa wiki 2 zilizopita. Awali mchoro ulikuwa ni fremu za kawaida kama fremu nyingine barabarani. Sasa wiki 4
Hahahahah tatizo unakuta boss kigwasi hela anabania lazma wampige kwenye material😅!Aise, hii kazi ya ujenzi ni heri wapewe mafarao. Mafundi wetu wengiwao njaa zinawasumbua
Kwa hako kamguu walitegemea kabebe ground na floor ya mwanzo😅?
Walishindwa kuzima moto KK, wataweza kufukua vifusi kweli!“Mpaka sasa Jeshi la Zimamoto na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vipo katika eneo hili kuendelea na hatua za kuhakikisha kama waliojeruhiwa ni hao tu ama kuna ziada,
1. Engineer aliye design mradi.Nani alaumiwe?
Kwahio waliokufa ni hao mafundi tu 😅
Hahahahah tatizo unakuta boss kigwasi hela anabania lazma wampige kwenye material😅!
Halafu haya mambo ya kujenga ghorofa na watu wa kawaida ni shida tu bora uipe kampuni hata 180M ila wakutengenezee kitu cha kueleweka. Ujenzi wa kuunga unga mmbaya sana huu.
Walitakiwa kutoa report police kwamba wana mashaka na aina ya ujenzi jirani na makazi yao, nyumba ingepigwa stop mpaka tathmin ifanyikeMajirani wana kosa gani?