heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Iyo unakuta mwenye nyumba ndo anajifanya yeye ndo injinia Ila kwa fundi mwenye akili timamu kabisa hata Kama ni local ,hawezi bebesha mzigo wa mitofali ktk Ile nguzo ya vile, Ile ramani Ni nzuri Ila Kama juu ingekua uzito mdogo let say vioo tupu, na nguzo iwe na nondo zinazopaswa