Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.

Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
 
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.

Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
Kumeendelea hivyo haraka kwakuwa Wakazi wengi wa huko ( wanaohamia ) siyo Wachawi / Washirikina kama wa maeneo mengine.
 
Unafananisha goba na tabata na sinza.. are you serious?😂😂😂😂. Eti biashara yaani unathubutu kusema goba itapata mpangilio wa biashara wa tabata na sinza jamani.😂😂😂be serious. FUTA THREAD.
Unatakiwa useme tu Goba inajengwa sana sasa. Ila usifananishe mkaa na penseli.
 
Unafananisha goba na tabata na sinza.. are you serious?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Eti biashara yaani unathubutu kusema goba itapata mpangilio wa biashara wa tabata na sinza jamani.[emoji23][emoji23][emoji23]be serious. FUTA THREAD.
Unatakiwa useme tu Goba inajengwa sana sasa. Ila usifananishe mkaa na penseli.
Hivi hii Tabata inayosemwa ni nzuri ni Tabata ipi hasa?
 
Unafananisha goba na tabata na sinza.. are you serious?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Eti biashara yaani unathubutu kusema goba itapata mpangilio wa biashara wa tabata na sinza jamani.[emoji23][emoji23][emoji23]be serious. FUTA THREAD.
Unatakiwa useme tu Goba inajengwa sana sasa. Ila usifananishe mkaa na penseli.
Ni Tabata ipi hiyo unayoisifia wewe hii tunayo ijua au ipo nyingine NewYork?
 
Back
Top Bottom