Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]sinza na tabata kuna malaya wengi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]sinza na tabata kuna malaya wengi mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tabata wapo mitaa gani!?
Nyie ndio huwa mnakariri aisee na hamtaki kutembea. Uliza wenzako wanaotembea watakwambia na sababu kwanini Sinza itaachwa nyuma na hata saizi imeanza kupoa sana kibiashara. Mbezi - Goba inamaeneo mengi ya kando ya barabara watu walinunua wakayareserve na sasa yanajengwa kwa standard nzuri ya kibiashara. Kwa mwaka mmoja tu huu imekua kwa kasi sana sasa kama wewe unabisha bisha tu utajikana baadaeUnafananisha goba na tabata na sinza.. are you serious?😂😂😂😂. Eti biashara yaani unathubutu kusema goba itapata mpangilio wa biashara wa tabata na sinza jamani.😂😂😂be serious. FUTA THREAD.
Unatakiwa useme tu Goba inajengwa sana sasa. Ila usifananishe mkaa na penseli.
Zee la pumbaKumeendelea hivyo haraka kwakuwa Wakazi wengi wa huko ( wanaohamia ) siyo Wachawi / Washirikina kama wa maeneo mengine.
Picha iko wapi ili tumalize ubishi mkuu? Mda mungine prove ya picha au video ni muhimu ktk kukazia jambo, ila ukiweka maneno matupu watu ambao waliifahamu miaka hiyo ikiwa pori hawawezi kukuelewa abadani.Nyie ndio huwa mnakariri aisee na hamtaki kutembea. Uliza wenzako wanaotembea watakwambia na sababu kwanini Sinza itaachwa nyuma na hata saizi imeanza kupoa sana kibiashara. Mbezi - Goba inamaeneo mengi ya kando ya barabara watu walinunua wakayareserve na sasa yanajengwa kwa standard nzuri ya kibiashara. Kwa mwaka mmoja tu huu imekua kwa kasi sana sasa kama wewe unabisha bisha tu utajikana baadae
Nyumba zina jengwa bila kukaa kwa mpangilioSehemu ya hovyo sana, haina mpangilio wa mitaa.
Hats Mimi huwa nashangaaHivi hii Tabata inayosemwa ni nzuri ni Tabata ipi hasa?
Ntazana ntazana siku ukiwa free niambie nije nikuchukue nikutembeze maeneo mbali mbali ya kulia bata mitaa ya tabata, afu urudi kuleta mrejesho jukwaani.Hats Mimi huwa nashangaa
Hakuna loloteNtazana ntazana siku ukiwa free niambie nije nikuchukue nikutembeze maeneo mbali mbali ya kulia bata mitaa ya tabata, afu urudi kuleta mrejesho jukwaani.
Mambo ya kusutana tena?Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.
Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
Nikikutembeza hautoandika tena hivi mkuu.. trust me!Hakuna lolote
SawaNikikutembeza hautoandika tena hivi mkuu.. trust me!
Goba imejaa wapigaji wote wanajificha kule na madalali wa magari yani kwa kifupi misheni town wote wamekimbilia huko..sinza na tabata kuna malaya wengi mno
Mavi ya kuku uwezo wa kujenga kimpangilio hatuna,Goba ni sawa na manzese tuNyumba sawa nzuri mnajenga
Je mnajenga kwa mpangilio,nyumba zipo kimtaa
Au
Ova
Kiukweli huwa nashangaaga sana wanapoifananisha Tabata na Sinza.Hivi hii Tabata inayosemwa ni nzuri ni Tabata ipi hasa?
Mkuu unaweza ukawa unabisha na watu ambao hiyo Goba mara ya mwisho kuiona ni 2010Nyie ndio huwa mnakariri aisee na hamtaki kutembea. Uliza wenzako wanaotembea watakwambia na sababu kwanini Sinza itaachwa nyuma na hata saizi imeanza kupoa sana kibiashara. Mbezi - Goba inamaeneo mengi ya kando ya barabara watu walinunua wakayareserve na sasa yanajengwa kwa standard nzuri ya kibiashara. Kwa mwaka mmoja tu huu imekua kwa kasi sana sasa kama wewe unabisha bisha tu utajikana baadae
Tabata is overratedUnafananisha goba na tabata na sinza.. are you serious?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Eti biashara yaani unathubutu kusema goba itapata mpangilio wa biashara wa tabata na sinza jamani.[emoji23][emoji23][emoji23]be serious. FUTA THREAD.
Unatakiwa useme tu Goba inajengwa sana sasa. Ila usifananishe mkaa na penseli.
Unanishauri nn mm nnaetaka kuanza ujenzi kigamboni[emoji2]tho naishi mkoaniWawekee along Morogoro road bana.