MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 299
- 240
What are you talking about? Vile vingi sio viwanja...ni mashamba. Mbweni na Bunju kumepimwa properly lakini sio Goba. Salasala pia kuna eneo limepimwa na kweli kuko njema kweli kweli
Kama pesa ipo wahi Goba.Mbona Kigamboni kumepimwa ila bei sii kama ya Goba?Kwa Tz sehemu kupimwa au kutokupimwa sii issue sana