Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

Goba naijua tangu enzi hizo tunakunya kwa jembe kutawaza na majani,, usafiri ilikuwa tabu enzi za rand lover ya mangi,, nikitoka home kawe nakatisha zangu bondeni mbezi nakula chocho kwa chocho naibukia ghorofa la mzungu goba hiyo ,,tuna shamba letu kule lkn kwa mujibu wa familia kwa sasa sio shamba tena bali viwanja. naskia siku hizi mpaka daladala zipo, nafikiri kujengwa kwa barabara ya tangi bovu mpaka mbezi imechangia maendeleo ya goba.
 
Mavi ya kuku uwezo wa kujenga kimpangilio hatuna,Goba ni sawa na manzese tu
Hahaha

Mkuu umeuaaa

Swali sasa boss!inakuwaje watu wanajenga nyumba wanatumia mpk mln70, 100 etc
Lkn kujenga kimpangilio huko wanashindwa

Ova
 
Goba imejaa wapigaji wote wanajificha kule na madalali wa magari yani kwa kifupi misheni town wote wamekimbilia huko..
Kama Sinza ilivyokua... Na madalali ni watu wa bata sana ndio maana nikasema kwenye viwanja vya bata sinza na Tabata pataachwa nyuma
 
Elewa mada mkuu,mada sio mpangilio wa mji. Ningetaka kuongelea mpangilio wa mji zipo sehem kama Mbweni ningeongelea tena bila kutaja hiyo ulotaja wewe ambayo ilipangiliwa na mkoloni
Mkuu goba naijua tokea miaka ya 90 huko

Wkt huko ni pori

Sikatai watu wanajenga lkn point kubwa

Ujenzi watu wanajenga kwa mpangilio

Je mitaa inaingia na kutoka

Kama mkoloni alitupangilia kwann na ss tusijipangilie

Ova
 
Mkuu goba naijua tokea miaka ya 90 huko

Wkt huko ni pori

Sikatai watu wanajenga lkn point kubwa

Ujenzi watu wanajenga kwa mpangilio

Je mitaa inaingia na kutoka

Kama mkoloni alitupangilia kwann na ss tusijipangilie

Ova
Kwenye mpangilio wa mji hapo umenipiga KO... Ila hii road ya Mbezi-goba-masana ndio nilikua naiongelea kibiashara.
 
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.

Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
hata kipande cha goba kwenda tegeta kupitia madale kimejengeka vema sana kimakazi na biashara
 
Kwenye mpangilio wa mji hapo umenipiga KO... Ila hii road ya Mbezi-goba-masana ndio nilikua naiongelea kibiashara.
Haina noma ila goba pazuri pana hali ya hewa nzuri
Ile barabara kweli imeleta na kufanya mabadiliko makubwa sana huko

Ova
 
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.

Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
Sinza haina tofauti na Magomeni, ishapitwa na wakati, Goba ni habari nyingine, inapendeza sana kutokana na vilima kuna sehemu karibu na Mbezi Juu kuna mandhari nzuri sana unaliona jiji na lote na city centre na bahari kwa pamoja,pia barabara kuu za kuingia na kutoka Goba zinapendeza sana
 
Vipi kuhusu Machinga huko, wanaondolewa au

Tujuzeni sisi tuliotimuliwa huku mjini kama fursa zipo huko tuje
Kuna eneo nasikia wametengewa na ruti mpya za magari ya abiria zitaanzishwa za kuanzia na kuishia hapo.

Nimesikia eneo linaitwa Saisai. Kwa habari nyepesi pia kuna ujenzi wa barabara kiwango cha lami kuunganisha Goba-Matosa-Kimara na Goba-Matosa-Temboni (Mbezi).
Kwenda Mbezi Luis, Mbezi Beach, na Kwenda Madale na Tegeta tayari kiwango cha lami.
 
Sehemu ya hovyo sana, haina mpangilio wa mitaa.
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu hizi pande zitakua ndio habari ya jiji.

Kama unabisha bisha tu huu uzi utakuja kukusuta.
Patavuma patakufa,pataibuka pengine tena.
 
Kuna eneo nasikia wametengewa na ruti mpya za magari ya abiria zitaanzishwa za kuanzia na kuishia hapo.

Nimesikia eneo linaitwa Saisai. Kwa habari nyepesi pia kuna ujenzi wa barabara kiwango cha lami kuunganisha Goba-Matosa-Kimara na Goba-Matosa-Temboni (Mbezi).
Kwenda Mbezi Luis, Mbezi Beach, na Kwenda Madale na Tegeta tayari kiwango cha lami.

Saisai ilipokuwa bar???
 
Ilala waarabu wananunua kwa Kasi na kujenga MAKASRI kama ya DUBAI.ilipitia kwenye mbwembwe zote hizo,lakini kwa Sasa ni maneno ya Aghali yanajengwa.
 
Back
Top Bottom