Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kuna small planet 😂😂Kwa mara ya kwanza nakanyaga ardhi ya Tabata, mandela road ni vumbi tupu.
Mwaka 2001 nakanyaga tena kwa mara ya pili, lami imeishia Kimanga darajani, bima kwenda segerea bado vumbi.
Mara ya mwisho nakanyaga Tabata mwaka 2021, Kiumbe ana hotel, 40 40 imekufa, Wallet sio maarufu tena, wakina Papa Mangi hawepo, yule mshikaji wa Kajala hasikiki tena, Swiss club ilishavunjwa, Babylon imezeeka, Toroka uje kwishnye, Mfojo hana jina tena, KB inajikongoja, Barakuda inajivuta vuta, The Great anakimbizwa na akina Kitambaa cheupe, Bucket alifeli hata kuanza, Corner pale jeshini anajivuta vuta, wakina Highbury na Annex wanafanana, Last call maji kupwa n.k
Jamaa mmoja akisimulia kijiweni, niliookumbuka hii stori, nikasema basi inawezekana pia sehemu nyingine ikabamba, muda ndio mwamuzi!
Nyie ndio huwa mnakariri aisee na hamtaki kutembea. Uliza wenzako wanaotembea watakwambia na sababu kwanini Sinza itaachwa nyuma na hata saizi imeanza kupoa sana kibiashara. Mbezi - Goba inamaeneo mengi ya kando ya barabara watu walinunua wakayareserve na sasa yanajengwa kwa standard nzuri ya kibiashara. Kwa mwaka mmoja tu huu imekua kwa kasi sana sasa kama wewe unabisha bisha tu utajikana baadae
Kiukweli huwa nashangaaga sana wanapoifananisha Tabata na Sinza.
Panda Noah za Mama Mlezi hapo Mgeta Kibaoni uje Dar network ipo full.Sasa mimi ninayekaa mgeta kijiji cha bunduki kupata network ya simu kuna eneo maalum jee nicomment wapi?
Gharama ya kuchimba kupata eneo la kuweka nyumba na kufukia makorongoHahaha
Mkuu umeuaaa
Swali sasa boss!inakuwaje watu wanajenga nyumba wanatumia mpk mln70, 100 etc
Lkn kujenga kimpangilio huko wanashindwa
Ova
Eeenhe bwana, naiona ona kwenye status za wakaazi wa Tbt, hizi hakuna mlezi aliyewahi dumbukia kwenye ile bahari yao pale?Umesahau kuna small planet 😂😂
Kuna miji huko duniani imejengwa kwenye miinuko na inapendeza sisi waafrika tuna laana,sioni faida ya chuo kikuu cha Ardhi kwa nchi yetuWatu ni kweli wanajenga kwa kasi, ila mipango miji ni mibovu kwa kweli. Ingekuwa na mipango miji ya kueleweka ingekuwa poa sana. Sasa sijui ni kwa sababu ya miinuko mingi au kupangilia mitaa ni janga sugu?!
Sijaidifia, ila nimesema asifananishe. Goba ni nzuri. Goba haiwezi kua sinza wala tabata. Kimpangilio wa biashara. Kama unaelewa lkini. Punguza hisia uelewe.Ni Tabata ipi hiyo unayoisifia wewe hii tunayo ijua au ipo nyingine NewYork?
Wapi imeandikwa tabata nzuriHivi hii Tabata inayosemwa ni nzuri ni Tabata ipi hasa?
Ntapotea si unajua hilo jiji la watu mimi nishazoea huku sauti za ndege pori tuuPanda Noah za Mama Mlezi hapo Mgeta Kibaoni uje Dar network ipo full.
Mzee we ni mdauTabata wapo mitaa gani!?
Nafanya research mkuuMzee we ni mdau
Huko utakutana na midume profile za pisi kali utatuma na ya kutolea inaliwa bure.wamesambaa tabata yote kama mchwa kuwapata hasa ingia Tinder au Tagged
Zamani badoo ilinikutanisha na mbili za tabataNafanya research mkuu
Kibozone ipo mbezi ya malamba mawili,bata lake nalo si la kitoto pale sidhani hata huko giba kuna bar kama ile,na jamaa anaendelea kuwahamisha watu mitaa ile nasikia anataka kutengeneza bonge klabuKibozone
hahahahaHuko utakutana na midume profile za pisi kali utatuma na ya kutolea inaliwa bure.