Ndiyo nimeuliza ni kipi kinafanya hiyo hadithi ya kale iendelee kusimuliwa hadi zama hizi? Maana hiyo hadithi imetapakaa dunia nzima na wenye kuiamini hiyo hadithi ni wengi kuliko wanayopinga hiyo hadithi.Hizo ni hadithi kama tamthilia ya kudadika
Ndio utakuja kuona mungu wapo wengi na kila mtu anamuelezea anavyoona mazingira yake
Lakini kusema allah au yehova ndio mungu na wengine sio mungu hilo jambo halipo
uchawi nao ni vigumu kuthibitisha labda siku nishuhudie mchawi anapaa na ungo nitaaminiSamahani mkuu, mimi naomba tu kueleweshwa kuhusu hili. Je, kama Mbingu na Jehanamu it's just fictional as your claim towards God and Satan, je uganga/ulozi/uchawi/miujiza hizi supernatural forces zinaoriginate from where? Kwa mfano ndugu zangu waislamu wana kitu kinaitwa Albadir ukisomewa hiyo lazima madhara yakufike. Au unafika kwa mganga anakuelezea matatizo yako yote kabla hujatamka lolote. Au vile kwa church wanavo cast out demons/spirits out of people. Nguvu hizi ni za kisayansi au ni za namna gani?
Ndiyo nimeuliza ni kipi kinafanya hiyo hadithi ya kale iendelee kusimuliwa hadi zama hizi? Maana hiyo hadithi imetapakaa dunia nzima na wenye kuiamini hiyo hadithi ni wengi kuliko wanayopinga hiyo hadithi.
Unafikiri kwanini hiyo hadithi bado inaendelea kutamba tu na haijabaki kuwa hadithi tu ya kale ambayo haina mvuto zama hizi?
Kuzituka ndio nini?Kwakuwa wenye hizo hadithi wanazituka bado
Hadith ziko katika namna tofauti tofauti wewe unataka zinazohusu nini?nipe hadith ambazo wewe unaona ni sahihi tuzitumie kama rejea hapa
najua na wewe unajua kuwa hadith za sahih bukhari ndio zinatumiwa na waislamu wote duniani
hadith za sahih bukhari unazikubali au huzikubali?Hadith ziko katika namna tofauti tofauti wewe unataka zinazohusu nini?
Sasa hapo kipi nacho ukielewi
- What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?
- "Created man, out of a (mere) clot of congealed blood," (96:2).
- "We created man from sounding clay, from mud moulded into shape, (15:26).
- "The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was," (3:59).
- "But does not man call to mind that We created him before out of nothing?" (19:67, Yusuf Ali). Also, 52:35).
- "He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer! Is there or is there not compulsion in religion according to the Qur'an?
- "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from Error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy hand-hold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things," (2:256).
- "And an announcement from Allah and His Messenger, to the people (assembled) on the day of the Great Pilgrimage,--that Allah and His Messenger dissolve (treaty) obligations with the Pagans. If then, ye repent, it were best for you; but if ye turn away, know ye that ye cannot frustrate Allah. And proclaim a grievous penalty to those who reject Faith," (9:3).
- "But when the forbidden months are past, then fight and slay the Pagans wherever ye find them, and seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practice regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving, Most Merciful," (9:5).
- Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued," (9:29).
3. The first Muslim was Muhammad? Abraham? Jacob? Moses?
- "And I [Muhammad] am commanded to be the first of those who bow to Allah in Islam," (39:12).
- "When Moses came to the place appointed by Us, and his Lord addressed him, He said: "O my Lord! show (Thyself) to me, that I may look upon thee." Allah said: "By no means canst thou see Me (direct); But look upon the mount; if it abide in its place, then shalt thou see Me." When his Lord manifested His glory on the Mount, He made it as dust. And Moses fell down in a swoon. When he recovered his senses he said: "Glory be to Thee! to Thee I turn in repentance, and I am the first to believe." (7:143).
- "And this was the legacy that Abraham left to his sons, and so did Jacob; "Oh my sons! Allah hath chosen the Faith for you; then die not except in the Faith of Islam," (2:132
Sahihi bukhari hana hadithi, yeye ni mkusanyaji tu , kazi ya kujadili hadithi ni ya wasomihadith za sahih bukhari unazikubali au huzikubali?
hakuna stage yoyote mtoto ndani ya tumbo la uzazi anakuwa pande la damuSasa hapo kipi nacho ukielewi
Adam aliumbwa kwa udongo ,waliofatia waliumbwa kutokana na maniii , huko ndani ya tumbo uumbaji unapofanya ndipo pande la damu linapatikana hili mbona lipo wazi, kuhusu MUISLAM wa kwanza unajua maana ya UMA ?
hadith zilizokusanywa na bukhari unazikubali au hauzikubali?Sahihi bukhari hana hadithi, yeye ni mkusanyaji tu , kazi ya kujadili hadithi ni ya wasomi
Jamaa mbona mgumu kuelewa mbona nilishakujibu hadithi kwanini zinakubalika na kwanini hazikubaliki? bila kujali nani kazikusanya hizo hadithihadith zilizokusanywa na bukhari unazikubali au hauzikubali?
Unajua mtoto anapitia stage ngapi ? Muumini wa kwanza ni Adamhakuna stage yoyote mtoto ndani ya tumbo la uzazi anakuwa pande la damu
nani muislamu wa kwanza?
Hahaha..huyo mwenye anajiita msomi ana elimu ya Qur'an na Biblia.Jamaa mbona mgumu kuelewa mbona nilishakujibu hadithi kwanini zinakubalika na kwanini hazikubaliki? bila kujali nani kazikusanya hizo hadithi
unakubali hadith zilizokusanywa na bukhari lakini una-cherry pick zinazokupendezaJamaa mbona mgumu kuelewa mbona nilishakujibu hadithi kwanini zinakubalika na kwanini hazikubaliki? bila kujali nani kazikusanya hizo hadithi
neno muumini ni sawa na neno muislamu?Unajua mtoto anapitia stage ngapi ? Muumini wa kwanza ni Adam
Hizo ni hadithi kama tamthilia ya kudadika
Ndio utakuja kuona mungu wapo wengi na kila mtu anamuelezea anavyoona mazingira yake
Lakini kusema allah au yehova ndio mungu na wengine sio mungu hilo jambo halipo
unakubali hadith zilizokusanywa na bukhari lakini una-cherry pick zinazokupendeza
najua lazima upaogope hapa
tufunge mjadala
hakuna stage yoyote mtoto ndani ya tumbo la uzazi anakuwa pande la damu
nani muislamu wa kwanza?
The creator of universe has no location. Kwa sababu yeye sio matter, Lakia pia God is the creator of "place" and it's impossible that the creator should be dependent on what He has created.Aliyemuumba Mungu hajulikani, basi hakuna mwanzo ni Mungu ! Imekaaje? Au mwanzo wa mwanzo imekaaje ? Kila mtu atapita na anaishia kusikojulijana bila jibu ! It doesn"t make sense at all by saying God existed before the time and space ! Where did He stay ? And when ?