Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Huyo kwisa kama anajihusisha na hizo tabia basi yeye ndie huwapitia wenzie.jamaa hafanani kabisa
Wenzie si unawaona tu mkuu
Afu hivi ni kweli dudu baya alikua anawapitia wenzie ?
Kumbuka maneno ya Arasii
 
Miaka ya 90 hadi 2000! Pale Morogoro Mjini ilikuwa kijana akiwa na hela afu watu hawajui amezipataje, wanavumisha kijana analiwa na Waarabu!
 
Hili la sam missago siamini hata kwa asimia 1%
kweli mkuu huyu jamaa wanamuonea wivu tu mtu anamuhukumu kwa kumsingizia yy shoga kutokana na uvaaji wake na utangazaji wake ni upumbavu tu akienda mahakamani sijui kama aayesema misago shoga ana hela ya kumlipa sam misago
 
Labda kama kuna jingine, ila kama ni hili la konki, the whole list imeshanidisappoint kwa kukaa kimya bila action yeyote ya kisheria dhidi ya aliyewatuhumu hadharani. Kinachofuata ni kuamini tu kuwa ni kweli.
 
Miaka ya 90 hadi 2000! Pale Morogoro Mjini ilikuwa kijana akiwa na hela afu watu hawajui amezipataje, wanavumisha kijana analiwa na Waarabu!
Ndio Wabongo hao.
 
Konki konki nyongo ya mamba, chuma chakavu, dudu baya, kapafoma, oil chafu
 
Huo mgando unaitwa sharuara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…