Kumbuka maneno ya ArasiiHuyo kwisa kama anajihusisha na hizo tabia basi yeye ndie huwapitia wenzie.jamaa hafanani kabisa
Wenzie si unawaona tu mkuu
Afu hivi ni kweli dudu baya alikua anawapitia wenzie ?
Tanzania wachunguzi wamekua wengi adi kwenye TV wanajua unacho waza[emoji41]
Miaka ya 90 hadi 2000! Pale Morogoro Mjini ilikuwa kijana akiwa na hela afu watu hawajui amezipataje, wanavumisha kijana analiwa na Waarabu!Sam Misago nimeishi nae mtaa mmoja kwa miaka miwili na tulikuwa tunafahamiana. Kwa nilivyomuona sikuona dalili zozote za ushoga. Kwanza kwenye sekta ya mademu alikuwa anawala vibaya sana, nachelea kusema katika vijana niliowashugudia wakibadili wanawake huyu dogo anaongoza.
Sasa hil la kusema shoga sikuwahi kuhisi kwasababu sikuona dalili zozote. Tatizo la wabongo mvulana akiwa hb,msafi swaga fulani kupita kiasi hawachelewi kusema ni shoga.
Kama Jeshini MkuuHuwa wanapimwa vipi?
Hawaingizwi kitu huko kwenye makalio kweli?
kweli mkuu huyu jamaa wanamuonea wivu tu mtu anamuhukumu kwa kumsingizia yy shoga kutokana na uvaaji wake na utangazaji wake ni upumbavu tu akienda mahakamani sijui kama aayesema misago shoga ana hela ya kumlipa sam misagoHili la sam missago siamini hata kwa asimia 1%
Uko wapi?HUYO DUDU BAYA NAYE BWABWA!
TIZAMA USHAHIDI HAPO JUU!
Daah.Lazarus ndo nani
Ndio Wabongo hao.Miaka ya 90 hadi 2000! Pale Morogoro Mjini ilikuwa kijana akiwa na hela afu watu hawajui amezipataje, wanavumisha kijana analiwa na Waarabu!
Mkuu hili jibu lako umemjibu kihuni as if jeshini ni kwa kila mtu lazima apiteKama Jeshini Mkuu
Konki msafisha mitaroTeam Konki Konki Konki Master gonga LIKE Niku ADD fasta
Sasa yule unamtenganishaje na ushoga? Kuna jamaa anamtetea humu kama sie yeye mwenyewe sijui
Kafanania kwani mkuu?Sasa yule unamtenganishaje na ushoga? Kuna jamaa anamtetea humu kama sie yeye mwenyewe sijui
Yuko nyoro nyoro sana alafu anavyoongea na kuchekacheka anatia kinyaa..Kafanania kwani mkuu?
OIL CHAFFU!!!!!!!!!Sababu ni Konki au nini?
Nachoweza kugundua hapa OIL CHAFU ametumika kuchafua OIL SAFINa wahusika halisi wanaogopwa
we dogo tu utajuaje mambo ya KIKUBWA! oilchafu unaijua?Mimi naamini kabisa kuna wachache wameonewa katika hili
Eti kwisa nae dah
Huo mgando unaitwa sharuara...Watu wa namna hiyo hawana vinyweleo huko nyuma, na pia huangalia uwepo wa sperm, hzo huwa zinaganda na kufanya muwasho ambao humfanya mtu ataman kufanywa daily....hii kitu ni hatar sana ukijarbu tu umeisha, na ni ngumu kuchomoka...mpak usafishwe kabisa kwa kutumia special facilities