Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuuwe dogo tu utajuaje mambo ya KIKUBWA! oilchafu unaijua?
Yeye dudu baya anajuaje watu wote hao na bado ana list ya wengine ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuuwe dogo tu utajuaje mambo ya KIKUBWA! oilchafu unaijua?
ndo mana nakwambia wewe dogo kaa kimya hujui OIL CHAFU anaongea kwa nguvu ya nani.. KAA KIMYA WE ANGALIA PICHA LINAVOENDELEAMkuu
Yeye dudu baya anajuaje watu wote hao na bado ana list ya wengine ?
Kasema akiitaja wote mtazimia.Hivi OIL CHAFU ndo inatumika kuleta haya majanga???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Konki ana list nyingine tena, mjiandae.
Alie anzisha huo ujinga wa kudharirisha watu ni naibu rais,ndio wa kumlaumu na yote hayo anafanya kwa faida zake binafsiMimi naamini kabisa kuna wachache wameonewa katika hili
Eti kwisa nae dah
Jimy kabwe anafanya kioindi gani mkuu na steshen gani?Nimemsikiliza HK leo kwa dakika chache nimeona anapiga nyimbo za faraja tuu....yote tisa kesho kwa Jim Kabwe hahaaaaa ata caste shade za kufa mtu.....
Njoo PMHuwa wanapimwa vipi?
Hawaingizwi kitu huko kwenye makalio kweli?
Brethren??! Concerned brother!Tatizo sio yeye kuwa shoga au kutokuwa shoga tatizo ni watu kujua yeye ni shoga ..
It doesn't matter whether anafanya au hafanyi.
Kama anafanya na uhakika atakuwa anafanya kwa siri sana.na hakutaka watu wajue siri yake .Sasa wameijua.
Na kama hafanyi pia ni tatizo kwa sababu tayari wanamnyooshea vidole.
Dogo anapitia public humiliation ya hali ya juu sana.
I.am a concerned brethren. I can feel.what he feel
Dudu yupo tayar kulipa na kama akishindwa yupo tayar kuozea jera...amesema hayo in public....kama sam sio shoga naye akisanue tuu...ila ukimya wao ni kuhalisha declaration ya Dudu...af nashangaa watetezi wa mashoga wanakimbilia haki za binadamu means hao watu hawajasingiziwa ila wapewe uhuru....Daaah simsikilizi tena mim sam misago japo nilikuwa namkubali kwelikweli mkuu huyu jamaa wanamuonea wivu tu mtu anamuhukumu kwa kumsingizia yy shoga kutokana na uvaaji wake na utangazaji wake ni upumbavu tu akienda mahakamani sijui kama aayesema misago shoga ana hela ya kumlipa sam misago
Kwa hiyo jamaa anajiteteaSasa yule unamtenganishaje na ushoga? Kuna jamaa anamtetea humu kama sie yeye mwenyewe sijui
Hahahaha! Usikute DAB anaweza kuwemo😂😂😂😂Kasema akiitaja wote mtazimia.
List ya pili inasemekana ina wakubwa wakubwa sasa, wakichafuka kwa oil chafu itakuwa nomaKashazibwa domo Oysterbay kituo cha polisi akae nayo tu.
n mkuu usimuhukumu mapema huenda ikawa kuchafuana tu labda dudu alibaniwa kuonekana kwenye kipindi akaamua kumchafuaDudu yupo tayar kulipa na kama akishindwa yupo tayar kuozea jera...amesema hayo in public....kama sam sio shoga naye akisanue tuu...ila ukimya wao ni kuhalisha declaration ya Dudu...af nashangaa watetezi wa mashoga wanakimbilia haki za binadamu means hao watu hawajasingiziwa ila wapewe uhuru....Daaah simsikilizi tena mim sam misago japo nilikuwa namkubali kweli
Sheria ipo wazi sana,kama umechafuliwa unakimbilia mahakamani kuombwa kusafishwa na pengine fidia,ni katika mchakato huo ndipo mlalamikiwa atatakiwa athibitishe pasi na shaka kwamba asemayo si kukuchafua ni kweliAllah akufanyie wepesi mdogo wangu Sam Misago na akuepishie mbali na shari
Most likely..Kwa hiyo jamaa anajitetea
tehe tehe teheKONKI KONKI KONKI MASTER ...OIL CHAFU
Wengine sisi MA-handsome na wasafi lakini mademu wanapita mbali nasi.Kweli kabisa alidate na rafiki yangu alimsumbua maana kila leo kumkuta na wanawake.
yaani mkaka akiwa HB na msafi basi ni shida!!