Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Nimemsikiliza HK leo kwa dakika chache nimeona anapiga nyimbo za faraja tuu....yote tisa kesho kwa Jim Kabwe hahaaaaa ata caste shade za kufa mtu.....
Jimy kabwe anafanya kioindi gani mkuu na steshen gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]konki konki konki master amekichafua sana kitaa, wana hawana raha tena oil chafu ameharibu mudi za wana, konki konki konki master a.k.a oil chafu [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Brethren??! Concerned brother!
 
kweli mkuu huyu jamaa wanamuonea wivu tu mtu anamuhukumu kwa kumsingizia yy shoga kutokana na uvaaji wake na utangazaji wake ni upumbavu tu akienda mahakamani sijui kama aayesema misago shoga ana hela ya kumlipa sam misago
Dudu yupo tayar kulipa na kama akishindwa yupo tayar kuozea jera...amesema hayo in public....kama sam sio shoga naye akisanue tuu...ila ukimya wao ni kuhalisha declaration ya Dudu...af nashangaa watetezi wa mashoga wanakimbilia haki za binadamu means hao watu hawajasingiziwa ila wapewe uhuru....Daaah simsikilizi tena mim sam misago japo nilikuwa namkubali kweli
 
Huyo jamaa anayemtetea atakuwa ndo walewale
 
n mkuu usimuhukumu mapema huenda ikawa kuchafuana tu labda dudu alibaniwa kuonekana kwenye kipindi akaamua kumchafua
 
Allah akufanyie wepesi mdogo wangu Sam Misago na akuepishie mbali na shari
Sheria ipo wazi sana,kama umechafuliwa unakimbilia mahakamani kuombwa kusafishwa na pengine fidia,ni katika mchakato huo ndipo mlalamikiwa atatakiwa athibitishe pasi na shaka kwamba asemayo si kukuchafua ni kweli
Ajabu kati ya waliotajwa kuwa mashoga hakuna hata mmoja alietaka kuombwa radhi zaidi ya kutingisha matako mitandaoni
 
Shoga yule hata akijiua sawa tu, dume zima linaenda kuliwa garasa
 
daah, dudu zuri ni phala sana, kachafua hali ya hewa dadeki
 
Kweli kabisa alidate na rafiki yangu alimsumbua maana kila leo kumkuta na wanawake.

yaani mkaka akiwa HB na msafi basi ni shida!!
Wengine sisi MA-handsome na wasafi lakini mademu wanapita mbali nasi.
Uchawi wa mademu ni fedha na umaarufu bassi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…