Ni kweli tupu vipato ni vidogo snLeo kwenye maria space iliyokuwa na mada ya mfumuko wa Bei man of the space was Lema. Ameongea mambo mazito na muhimu Kwa Taifa Leo.
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare nawewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato Chao Kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles
Kisa yeye analishwa na mabeberu ndo anajiona siyo jobless, atuambie anafanya kazi gani huko ughaibuni huyu baba wa nyumbani.
Fundi makenika ananyoosha bord na kupiga rangi kule mwanzoni aliingia udereva tax ukawa haumlipiHuyu Lema alikuwa anategemea Ubunge, alipwe million 12 kwa mwezi, itakuwa Bomba imekata , nataka kujua huko nje anafanya mishe Gani?
Anaosha masufuria kwenye restaurant. Kumbuka kisomo hana, ufundi hana, kingereza hana, kifaransa hana. Sasa unategemea atafanya kazi gani zaidi ya kuosha masufuria. Huko aliko anajutia, kwa nini alijidanganya kwenda huko huku akijua alichopoteza ni kiti cha ubunge tu. Angekuwa huku anapiga pesa ya biashara zake. Alidanganyika na Lissu ambaye hata umachinga hauwezi, sasa analia kilio cha mbwa koko.
Mfuate hukoHuko aliko ana maisha mazuri kuliko aliyokuwa nayo akiwa mbunge hapa. Watoto wake wote wanasoma shule nzuri kuliko zinazoitwa za international hapa nchini. Na uwezekano wa watoto wake kupata ajira nzuri hapa nchini wakirejea kutokana na elimu nzuri ya huko ni mkubwa sana. Ww utabaki kushinda kwa waganga na kusifia viongozi wenye uwezo duni, huku watoto wako wakipata elimu ya bora liende.
Leo kwenye Maria Space iliyokuwa na mada ya mfumuko wa Bei man of the space was Lema. Ameongea mambo mazito na muhimu Kwa Taifa Leo.
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare na wewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato chao kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles
Hii inaweza kuwa sawa kabisa, kwani MTU mwenye take home ya million kwa mwezi inamaanisha kwa mwaka ni 12million, Ambayo ndio MajorityLeo kwenye Maria Space iliyokuwa na mada ya mfumuko wa Bei man of the space was Lema. Ameongea mambo mazito na muhimu Kwa Taifa Leo.
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare na wewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato chao kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles
Hakika! Unafanya kazi ukipata kitu cha kufanya hata cha million moja tu! Lazima uende kukopa! Bila kuwaza nje ya box hakika lazima ubaki mtu duni kwenye njaa kali!Kaongea ukweli mchungu sasa mwalimu wa sekondari au shule ya msingi hawezi kusave hata laki tatu kila mwezi na yuko kazini, matumaini yote anahamishia kujifariji kwenye job security na pension ambayo kwa miaka yote ya kazi kama 30 hatolipwa zaidi ya dola 50000 , akistaafu anakufa mapema maana elimu ya mtaani hana, nawapongeza wafanyakazi wenye mafanikio hasa waliojiongeza kwenye kilimo na biashara na uwekezaji mwingine zaidi.
Kaka hao wenye take home ya 1 million kwa bongo wala sio wengi! Hata akiwa na hiyo anakuwa amechukua mikopo uchwara ya miaka saba anachukua laki nne tu kwa mwezi hela yote kwenye mkopo! Halafu hapo hapo hana hata biashara yeyote! Huyu mtu lazima awe jambazi pale kazini kwake anakwapua kila hela inayopita kwenye mikono yake! Na hapo ndo mwanzo wa miradi mibovu ya serkali!Hii inaweza kuwa sawa kabisa, kwani MTU mwenye take home ya million kwa mwezi inamaanisha kwa mwaka ni 12million, Ambayo ndio Majority
Hivi hata kama humpendi Lema huoni point yake? Mtumishi anapokea 320000 Kwa mwezi, analipa deni la mahtaji ya ndani 140000, anabakiza 180000 ambayo haimtoshi na familia yake. Mwezi unaofuata mwendo ni uleule kopa lipa kopa lipa, lipa kopa. Jobless wanaishije kama siyo Kwa style hii hii?Leo kwenye Maria Space iliyokuwa na mada ya mfumuko wa Bei man of the space was Lema. Ameongea mambo mazito na muhimu Kwa Taifa Leo.
Moja ya jambo kubwa ninalotaka kushare na wewe ni hili:
1. Tanzania haitaendelea kama hakuna miundombinu ya kisera yakutufanya tuendelee.
2. Wafanyakazi wa serikali ni jobless, wengi kipato chao kwa mwaka ni chini ya milioni 8, wanafanya kazi Lakini ni Jobless. Kipate cha mfanyakazi kwa mwaka ni mtaji wa machinga wengi waliopo masoko makubwa nchini.
Endeleeni kuwahita wenzenu jobless mkasau ninyi pia ni jobles
Mfuate huko