Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Nawaza tu wakuu...."siku hizi kuna mbinu mpya yaani unaitwa faragha na kisha unawekewa sauti au video yako iliyorekodiwa bila wewe kujua ukiwa kwenye mkakati na mbinu za kuihujumu nchi yako au makosa mengine yanyofanana na hayo na kisha unapewa kuchagua kuungama na kukili adharani juu ya matendo yako maovu au upelekwe mahakamani kujibu kesi...."
Hapo ndio unaona wengi wanatimkia balozini, UNHCR, au kupotea kabisa wakipata upenyo! Na bado wapo wengi nyuma ya Lissu na Lema....Watu waliseama hapa kuwa hapa nchini hatuna upinzani, lipo kundi la wana mazingaombwe na wahuni ambao wapo tayari hata kuua wenzao ili ionekane wanatendewa uovu na serikali!
kkkjilj.jpg
 
Sisi wengine ndio maana tuliacha kumtetea magufuli mitandaoni maana tuliona dalili mbaya za utawala wake.

Wakati anaingia madarakani nilikuwa mmoja ya watu waliokuwa wanamtetea na kumsifia sana.
Huyu bwana hafai kabisa,wanaomuunga mkono ni watu wasiojtambua na wale wanaonufaika na huu utawala.
 
Kati ya viongozi wa ccm na chadema ni viongozi wapi wanaowatumia wafuasi wao?
Viongozi wa ccm wanaiba kura alafu wanategemea nyie mjitoe akili muwatetee.
Hauoni Kama unajivua nguo ukweni kuwatetea wezi wa ccm?
ndio mjue kwamba viongozi wa chadema ni wasanii tu,wanawatumieni
Kiongozi kataka kuharibu nchi,kachukua familia yake kasepa,alikua anataka kwenda Marekani,huku anawaacha na shida zenu,kwa nini kama ana uchungu asingebaki na watoto wake
 
Nchi imeharibiwa na mtu mmoja mwenye siasa na mitazamo ya miaka ya 60 kurudi nyuma.
 
Una uhakika gani wanajitisha wenyewe?

Lissu aliposema kuna watu wanamfuata fuata baadhi yetu tulisema hivyo hivyo.

Leo natamani niyameze maneno yangu!
Kama anahisi anatishwa wacha asepe, maisha ni popote,
Lema kashindwa ubunge sasa kuishi bila kazi kwa mtu aliuezoea kupata mshahara bila kusumbua akiri ni ngumu sana.
Kwani eabunge wangapi wameshindwa ubunge na wako kimya?
Kuna wa kati mtu akitoka kijijini akaenda mjini akawa na maisha kodogo anaona kabadilika na hawezi kuidhi maisha aliyokuwa nayo mwanzo kijijini, hivyo amisha yakimgomea huko mjini anaona ni bora achokee mjini kuliko kurudi kuanza upya kijijini, kwa kuwa hata alio waacha pale zamani utakuta wana maisha kidigi mazuri ika wewe unaenda kuwa nyuma yao sasa hapo utaona aibu ni bora ubaki huko uliko hata kama maisha ni magumu zaidi.
Sasa lema anaogopa kuanza upya.
 
Ulitaka watu wapoteze maisha kisha mseme wanatumiwa na watu wasiolitakia mema taifa?
Sawa, kama mliogopa watu kupoteza maisha basi mngesusia uchaguzi kama baadhi ya wabunge walivyokimbia corona bungeni.
 
Ameuliza kama kuna uonevu mbona waTZ hawakuandamana ndio nimetoa mifano ya Rwanda na Zaire ya Mobutu kwamba licha ya unyama uliofanyika ila sikuwahi ona maandamano.

Swali linakuja, Je kuna raia waliandamana?

NB: Napoongelea kagame kuchinja wahutu hatuongelei genocide tunaongelea Rwanda ya 1998-2003. Usikurupuke kuchangia vitu usivyokua na uelewa navyo.
Umesahau kuwa mzee Kabila (Rip) aliingia msituni sababu ya unyama na uonevu alioufanya Mobutu.

Unafahamu kuwa Gen Tito Okello na Museveni waliingia porini na kumg'oa amini?

Hao wote walipata sapoti toka kwa wanachi. Sababu kulikuwa na uonevu na unyama dhidi ya binadamu. Kwa hiyo ilikuwa sio lazima wananchi waandamane ndio ishara kuwa kuna uonevu na unyama.

Rwanda ya 1998-2003! Wahutu walichinjwa na Un ikakaa kimya? Mh...

In short watanzania wana akili timamu kama wameonewa na kunyimwa haki hakuna mtu atawshika mkono kuandamana au kudai haki zao. Watadai haki zao wenyewe kwa nguvu zote.
 
Nchi imeharibiwa na mtu mmoja mwenye siasa na mitazamo ya miaka ya 60 kurudi nyuma.
Na wewe anza kukimbia usije kuuwawa.
Sasa hao mnao watetea wameanza kukimbia nchi na kuwaacha watetezi wao, mtabaki mnamtetea nani sasa?

Lema alitabili upuuzi kwa raisi, baada ya kuwekwa kisong pale utabili ukafa na kuwa batili.
Kwa hiyo maono yao ni kutoka kwa shetani na ndo maana wanashindwa kwa kila jambo.

Na kila siku mkitaka kukimbia mnakimbilia marekani na ulaya, kwa nini msikimbilie hata ghana au nchi.nyingine za kiafrika ambapo kuna waafrika wenzenu?
 
Umesahau kuwa mzee Kabila (Rip) aliingia msituni sababu ya unyama na uonevu alioufanya Mobutu.

Unafahamu kuwa Gen Tito Okello na Museveni waliingia porini na kumg'oa amini?

Hao wote walipata sapoti toka kwa wanachi. Sababu kulikuwa na uonevu na unyama dhidi ya binadamu. Kwa hiyo ilikuwa sio lazima wananchi waandamane ndio ishara kuwa kuna uonevu na unyama.

Rwanda ya 1998-2003! Wahutu walichinjwa na Un ikakaa kimya? Mh...

In short watanzania wana akili timamu kama wameonewa na kunyimwa haki hakuna mtu atawshika mkono kuandamana au kudai haki zao. Watadai haki zao wenyewe kwa nguvu zote.
Mzee kabila gani aliingia msituni? Au unaongelea jeshi la Rwanda lililovaa kombati za waasi? Mobutu ameongoza miaka mingapi? Amekuha kutolewa akiwa mgonjwa wa kansa hta hawezi tembea!! Unakumbuka maandamano ya wananfunzi Lubumbashi? Kma huyafahamy kagoogle ndio urudi kuropoka humu.

2. Museveni alimng'oa Amin? Hahahha u can't be serious.... Okello alimpindua Obote!! na huyo museveni alipoangushwa kwenye uchaguzi ndio aliingia msituni. Ina maana tamaa ya madaraka ndio ilimpeleka msituni sio kupinga udikteta. Kumbuka alikubali uwaziri ila CHADEMA wamegomea ubunge wa bure so tofaut ni kubwa mnoo.

3. Ndio Rwanda ya 1998-2003, in fact mauaji yalianza 1996. UN imeandika ripoti nyingi tu kasome pia Miller-Davenport report imedadavua hayo mauaji ndani ya Rwanda na wakimbizi wa Rwanda huko Congo mashariki na ulimwenguni kote.

4. Lini wamewahi dai haki zao kwa maandamano? Wakulima wamewahi andamana? Walimu wamewahi andamana licha ya kulia lia miaka yote? Wanafunzi walionyimwa mikopo?

Sasa nikuhoji kuwa kushindwa kwao kuandamana ina maana wameridhika? Specifically kwa hayo makundi tajwa kma case study yetu.
 
Mzee kabila gani aliingia msituni? Au unaongelea jeshi la Rwanda lililovaa kombati za waasi? Mobutu ameongoza miaka mingapi? Amekuha kutolewa akiwa mgonjwa wa kansa hta hawezi tembea!! Unakumbuka maandamano ya wananfunzi Lubumbashi? Kma huyafahamy kagoogle ndio urudi kuropoka humu.

2. Museveni alimng'oa Amin? Hahahha u can't be serious.... Okello alimpindua Obote!! na huyo museveni alipoangushwa kwenye uchaguzi ndio aliingia msituni. Ina maana tamaa ya madaraka ndio ilimpeleka msituni sio kupinga udikteta. Kumbuka alikubali uwaziri ila CHADEMA wamegomea ubunge wa bure so tofaut ni kubwa mnoo.

3. Ndio Rwanda ya 1998-2003, in fact mauaji yalianza 1996. UN imeandika ripoti nyingi tu kasome pia Miller-Davenport report imedadavua hayo mauaji ndani ya Rwanda na wakimbizi wa Rwanda huko Congo mashariki na ulimwenguni kote.

4. Lini wamewahi dai haki zao kwa maandamano? Wakulima wamewahi andamana? Walimu wamewahi andamana licha ya kulia lia miaka yote? Wanafunzi walionyimwa mikopo?

Sasa nikuhoji kuwa kushindwa kwao kuandamana ina maana wameridhika? Specifically kwa hayo makundi tajwa kma case study yetu.
Ahaaa, naona kama mtu ambae unae angalia shilingi kwa upande mmoja tu.

Mzee Kabila alishika bunduki mapema sana miaka sitini baada ya Patrice Lumumba kuuliwa na Mobutu. Ndio maana alikimbilia Tanzania. Kuchelewa kumg'oa Mobutu sio sababu ya kusema watu walikuwa hawapingi uovu wake.

Kwa hiyo hujui kuwa Mseveni na Titto Okello ni moja ya watu waliopigana vita vya kagera? Ahaaaa.....

Kama wahutu walichinjwa na Un ikatoa ripoti bila kuchuakua hatua then this is nonsense.

Unataka wakulima ,wafanyakazi na walimu wadai haki zao kwa maandamano ndio ulidhike? Kwani hakuna njia sahihi za kudai haki zako mpaka uandamane?
 
.
Ahaaa, naona kama mtu ambae unae angalia shilingi kwa upande mmoja tu.

Mzee Kabila alishika bunduki mapema sana miaka sitini baada ya Patrice Lumumba kuuliwa na Mobutu. Ndio maana alikimbilia Tanzania. Kuchelewa kumg'oa Mobutu sio sababu ya kusema watu walikuwa hawapingi uovu wake.

Kwa hiyo hujui kuwa Mseveni na Titto Okello ni moja ya watu waliopigana vita vya kagera? Ahaaaa.....

Kama wahutu walichinjwa na Un ikatoa ripoti bila kuchuakua hatua then this is nonsense.

Unataka wakulima ,wafanyakazi na walimu wadai haki zao kwa maandamano ndio ulidhike? Kwani hakuna njia sahihi za kudai haki zako mpaka uandamane?
Mbona hueleweki unadai Museveni alimtoa Amin sababu ya support ya wananchi ghafla tena unakiri kuwa alimtoa kwa vita ya kagera yaani majeshi ya kigeni/wavamizi!! Sasa mfano wako upo relevant kwa mada yetu?

Ewaaa unakiri Kabila kutoroka DRC ila unamshangaa Lema kukimbilia kenya? Hahahhaha mbona unajichanganya mkuu? Anyway kma alikua ana support ya raia kwanini hakumtoa 1960 hadi 1996? Ina maana hujui kma ilivokua kwa Museveni basi na kwa Kabila bila support ya wavamizi wa kigeni asingemtoa Mobutu!!

Bottom line hapa ni kwamba licha ya raia kuwachukia Amin na Mobutu ila hawakuandamana na mwishowe wakang'olewa na wageni!!

About kagame hajafanyiwa kitu sababu ya Appeasement policy!! Kagoogle utaelewa

Back to topic..... Kwahiyo unakiri kuwa walimu licha ya kuchoshwa na mambo kibao ila hawakuandamana? Kumbe sio lazma watu waandamane ndio waonyeshe kukasirishwa? Sasa mbona CHADEMA kutoandamana unadai hawana popular support? Hahahahah
 
Hapa anae zungumziwa ni Lema, issue ya Ben saanane na Azory Gwanda ni tofauti. Unarukaruka tu hoja

Hakuna mjadala usio na mifano, hata huko kwenye nyumba za ibada anayejadiliwa ni Mungu, lakini haizuii shetani kuongolewa. Labda useme umekuja na marking scheme humu jukwaani.
 
Back
Top Bottom