Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Aachiwe aende zake ukimbizini endapo anaona maisha yake yapo hatarini kiutaratibu mkimbizi huhitaji kutoa maelezo na vielelezo vya uhatari uliopo na si document za kusafiria kuna haki yake ya kimsingi hapo ananyanganywa