Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

Kama kunaaaa wapinzanii wanasogezaa mdaa waooo WA lala salama n MH. godbless lema

Namshaurii MH Lena Yale manenoo yaa MH Spika kama kweli kakopa ajalipa ajiandae KULIPA mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo arusha

Vyema nkatoaa tahadhari kuliko Kujaa kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa


ALAFU aatangaze kutaka kuhamia CCM
HILOO alitawezekana


Wanachama WA chadema amtapenda kuona Mali xa kakayetu MPENDWA zikiuzwa sababu ya madeni

Namshauriii mapemaa hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge LA 2021 ataaibika kakangu

Kuna uzi mwingine umeanzisha kwa id yako nyingine kumuhusu Lema kwamba kamuita mashunji mbwa. Naona uzi zako zote unatumia capital letters.
 
Huo ujasiri wa kusema hivyo huwa mnautoa wapi? Wewe umeteuliwa kuwa msemaji wa wapiga kura?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadhani watachakachua km serikali za mitaa ndiyo maana wanaota hata ndoto za mchana
 
Kuna uzi mwingine umeanzisha kwa id yako nyingine kumuhusu Lema kwamba kamuita mashunji mbwa. Naona uzi zako zote unatumia capital letters.
Hapanaaa mkuu hii ndioo first kwa lemaa ulizia basiasi NANI aka utasaidika
Else unatafuta kesi ya kuhujumu uchumii WA I'd ya mtu
 
Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama n Mhe. Godbless Lema

Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha

Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa


Halafu atangaze kutaka kuhamia CCM, hilo alitawezekana

Wanachama wa CHADEMA amtapenda kuona Mali xa kaka yetu mpendawa zikiuzwa sababu ya madeni

Namshauri mapema hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge la 2021 ataaibika kakangu
Kushinda anashinda na ndio mbunge pekee wa upinzani aliyeshinda ubunge kwenye utawala wa magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama n Mhe. Godbless Lema

Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha

Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa


Halafu atangaze kutaka kuhamia CCM, hilo alitawezekana

Wanachama wa CHADEMA amtapenda kuona Mali xa kaka yetu mpendawa zikiuzwa sababu ya madeni

Namshauri mapema hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge la 2021 ataaibika kakangu
Jidanganyeni mtaiba Arusha. Tutawashangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapo mkuu, lazima tuangalie pia kama hatapita , hatapitaje? Kwakutochaguliwa na wananchi au kwa kutumia tume na polisi? Kama hatachaguliwa na wanachi kihalali kabisa na mimi nakuunga mkono, lakini kama ni kwakutumia nguvu , hapo hamna kitu, maana tunajua mkuu wa kaya alishawaambia au waonya wakurugenzi wasitangaze washindi kutika vyama vya upinzani, na pia tumeona uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyokuwa , akina polepole na bashiri wanatenda dhambi ya uongo kwakusema eti walioeleka wanasheria nchi nzima kuwapa semina wagombea wa ccm jinsi ya kujaza fomu. Sijui ni nchi gani, maana huku kwetu hawakufika?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi tutakula sahani moja na hao wakurugenzi na familia zao! Sasa waamuwe kufanya kazi kwa utaratibu uliowekwa au kwa maelekezo batili!
 
matokeoo yatawaashangaziaa amtoacha rangii kuzionaaaaa
#kidumuchamachamapinduzi
 
Sasa hapo mkuu, lazima tuangalie pia kama hatapita , hatapitaje? Kwakutochaguliwa na wananchi au kwa kutumia tume na polisi? Kama hatachaguliwa na wanachi kihalali kabisa na mimi nakuunga mkono, lakini kama ni kwakutumia nguvu , hapo hamna kitu, maana tunajua mkuu wa kaya alishawaambia au waonya wakurugenzi wasitangaze washindi kutika vyama vya upinzani, na pia tumeona uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyokuwa , akina polepole na bashiri wanatenda dhambi ya uongo kwakusema eti walioeleka wanasheria nchi nzima kuwapa semina wagombea wa ccm jinsi ya kujaza fomu. Sijui ni nchi gani, maana huku kwetu hawakufika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Subirinii kuraa za WANANCHI mkuu zitawashangazaa
 
Back
Top Bottom