Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi


Kuna uzi mwingine umeanzisha kwa id yako nyingine kumuhusu Lema kwamba kamuita mashunji mbwa. Naona uzi zako zote unatumia capital letters.
 
Huo ujasiri wa kusema hivyo huwa mnautoa wapi? Wewe umeteuliwa kuwa msemaji wa wapiga kura?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadhani watachakachua km serikali za mitaa ndiyo maana wanaota hata ndoto za mchana
 
Huu uandishi wa “mamboooo” & “nitakukumbushaaaaa” huwa unanifanya nadharau comment nzima!
Mgeni Jf
ENDELEA kudharau I'd isikusahaulishe ujinga
 
Kuna uzi mwingine umeanzisha kwa id yako nyingine kumuhusu Lema kwamba kamuita mashunji mbwa. Naona uzi zako zote unatumia capital letters.
Hapanaaa mkuu hii ndioo first kwa lemaa ulizia basiasi NANI aka utasaidika
Else unatafuta kesi ya kuhujumu uchumii WA I'd ya mtu
 
Kushinda anashinda na ndio mbunge pekee wa upinzani aliyeshinda ubunge kwenye utawala wa magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jidanganyeni mtaiba Arusha. Tutawashangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sisi tutakula sahani moja na hao wakurugenzi na familia zao! Sasa waamuwe kufanya kazi kwa utaratibu uliowekwa au kwa maelekezo batili!
 
matokeoo yatawaashangaziaa amtoacha rangii kuzionaaaaa
#kidumuchamachamapinduzi
 
Subirinii kuraa za WANANCHI mkuu zitawashangazaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…