ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Pole yaonekana hukulala kwa kutafuta cha kubumba ili kujipa faraja.Sina upande... Kwani kutoa data za uongo nani anashindwa hata kicha.
Nakuambia kwa jinsi CDM walivyodisorganised nina mashaka Kama wanakumbukumbu za wanachama.
Hakuna heshima na maadili.... Sasa system itatoka wapi. Behaviour ya taasisi kwa nje itakupa picha ya kilichopo ndani.
Pole yaonekana hukulala kwa kutafuta cha kubumba ili kujipa faraja.Sina upande... Kwani kutoa data za uongo nani anashindwa hata kicha.
Nakuambia kwa jinsi CDM walivyodisorganised nina mashaka Kama wanakumbukumbu za wanachama.
Hakuna heshima na maadili.... Sasa system itatoka wapi. Behaviour ya taasisi kwa nje itakupa picha ya kilichopo ndani.
Hawana habari πππKwani wenye chama wanasema je kuhusu legacy?
Ukikalia kiti cha mamlaka tenda hakiLema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee
Ni kama vile hujui usemalo au uulizalo...!!Hivi Lema akiwa Rais kesho anaweza kugawa haki kwa Kila mtu?
Ni kama vile hujui usemalo au uulizalo...!!
By the way, na wewe je..? Huwezi..? Basi, kama ndivyo, HUFAI KUWA KIONGOZI and I plead to the Almighty God usije kuupata uongozi wa watu wa Mungu ktk maisha yako yote isipokuwa uongoze wale wa familia yako tu waliotoka viunoni mwako mpaka utakapoelewa ni nini maana ya kuwa KIONGOZI ndipo utoke nje ya familia yako..!!
AND HERE IS THE POINT;
Kwamba, ukiwa KIONGOZI popote pale hata wewe kwenye hiyo familia yako, kusimamia HAKI kwa kila mtu ktk territory yako ya uongozi iwe ni familia, jumuiya au nchi, that's not an OPTION but it is a MUST and the first OBLIGATION...!!
Take this into your head brain...
Ni Lema na weweKwa comment yako hiyo hadi sasa utakuwa umeshapata mrejesho kuwa kati yake na wewe mpuuzi halisi ni nani ππ.
Ni Lema na wewe
Anachokosea ni kutaka kutuaminisha kwamba kifo ni adhabu.Awaye yote atake au asitake Mola anayo namna yake ya kusema na waja wake:
Ikumbukwe kuwa imeandikwa, (Mathayo 7:15-16) "manabii wa uongo mtawajua kwa matunda yao."
Izingatiwe kuwa utabiri wa Lema unafungamanishwa moja kwa moja na umuhimu wa matendo ya haki kwa wengine, kuweza kuivuna mibaraka ya maisha marefu.
Kupata kuishi maisha marefu ni mbaraka kutokea kwa Mola mwenyewe (Kut 20:12, Efeso 6:2-3).
Tutende haki vinginevyo, asilaumiwe dobi kaniki ni rangi yake.
Anachokosea ni kutaka kutuaminisha kwamba kifo ni adhabu.
Kifo sio adhabu kwa sababu mwema na muovu atapita hapo,ni ujinga kuamini tabiri kama hizi za akina lema na wengineo.
Magufuli kafa na miaka zaidi ya 60 ameshaishi maisha marefu,hata mama samia kwa umri aliokuwa nao ameshaishi maisha marefu hivyo kazipata baraka za Muumba vizuri
Toka enz na enz nabii kazi yake ilikua ni kuonya na kukemea mabaya.Lema anapenda kutabiria wengine mabaya tu, ashindwe na alegee