Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

Screenshot_20211120-120813_1.jpg
 
Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.

Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
 
Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.

Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.

Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI
 
Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.

Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!
 
Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.

Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.

Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI
Issue ni je anayekuja yupoje? Maana inaweza kuwa afadhali ya aliyetoka
Wizara ya madini na wizara ya nishati miaka nenda rudi imejaa wapigaji na wezi wakubwa
 
Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!
Huyo amekurupuka, anasema pacha wake kulwa Biteko nae yupo bungeni kitu ambacho sio kweli
 
Back
Top Bottom