Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
Uongo uko wapi hapo? Sikufuatilia tu kama alikatwa jina kwa sababu hakukuwa na uchaguzi 2020 basi aliyeshinda kura za maoni alikuwa tayari ni mbunge.

Ila ukweli unasimama pale pale hawana haya.
 
Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu...
Kwanza mpumbavu Baba yako mzazi kenge wewe, mimi huwa silali na deni.

Halafu nioneshe ni wapi nimemtaja Zungu au huyo Bashe.

Siyo unatoka kuvuta bangi unaparamia watu tu. Fanculo.
 
Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta...
Biteko ataendela kuwepo sana tu! Yaani Huyu mama kama atakurupuka tena kama alivokurupuka kumtoa Kalemani nishati shauri yake! Watu wanachuki na Magufuli na watu wake! Inamaan waziri haruhusiwi kufanya biashara ya madini!

Ndo maana mnaambulia kutoa mawaziri kwa mihemuko ma chuki mnaweka mazuzu! Hivi suala hata la umeme nchi nzima athari yake ni kubwa sana!
 
Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
Ninachojua Kulwa yupo Uhamiaji Zimbabwe zamani alikuwa Kurasini.

Hii ya kuwa Mjengoni ikanishtua kidogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo uko wapi hapo? Sikufuatilia tu kama alikatwa jina kwa sababu hakukuwa na uchaguzi 2020 basi aliyeshinda kura za maoni alikuwa tayari ni mbunge.

Ila ukweli unasimama pale pale hawana haya.
Uongo bado huuoni? Umesema kulwa yupo bungeni ukaanza kutema povu, nikakuambia hayupo with evidence.
Bado huoni Kama ulisema uongo?
Una tatizo la akili?
 
Mtutsi alikavidhiwa Wizara nyeti kama hiyo, ndo maana kawa mwizi tu na kupora maeneo ya madini na kuwakabidhi ndugu zake
 
Ninachojua Kulwa yupo Uhamiaji Zimbabwe zamani alikuwa Kurasini.

Hii ya kuwa Mjengoni ikanishtua kidogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Aligombea ubunge Jimbo la busanda, akashinda. Jiwe akamkata kwa kusema haiwezekani kulwa na Dotto wawe wabunge tena kwa majimbo mawili ya karibu.
Huyo jamaa akatoka huko akakurupuka bila kushirikisha medula kuwa kulwa yupo bungeni
 
Aligombea ubunge Jimbo la busanda, akashinda. Jiwe akamkata kwa kusema haiwezekani kulwa na Dotto wawe wabunge tena kwa majimbo mawili ya karibu.
Huyo jamaa akatoka huko akakurupuka bila kushirikisha medula kuwa kulwa yupo bungeni
Yote haya nayakumbuka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite

Mkuu,

Samahani naomba nikupe complimentary

Una busara sana! familia yako pamoja na marafiki

zako hawana budi kushukru kuwa na mtu kama

wewe katika maisha yao ya kila siku.

Asante!
 
Uongo bado huuoni? Umesema kulwa yupo bungeni ukaanza kutema povu, nikakuambia hayupo with evidence.
Bado huoni Kama ulisema uongo?
Una tatizo la akili?
Huyo Matola nakwambia ni mpumnavu na hana akili Kulwa Biteko alikatwa na hakugombea ubunge! Anapozungumzia Kulwa Biteko na mambo ya bungeni ndo anaonekana kwanza ni mtu asiye na taarifa sahihi!,sio mfatiriaji wa mambo!,anaendeshwa na mihemko na ni mpumbavu sana.
 
Usisahau Jenerali Ulimwengu mnayemsujudu hapa kila siku ni Mrwanda pia na alikuwa mpaka Mkuu wa Wilaya, Familia ya Mwalimu Nyerere ilitokea Rwanda pia sasa sijui laana yako ianzie awamu ipi?

Hata Raisi wako Samia alienda kwa Kagame kuripoti mpaka Mkuu wa Majeshi ya JMTZ Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi chini ya Samia wote walienda kuripoti kwa Kagame na hata Uraisi wa Samia unalindwa na Kagame kama ulikuwa haujui, …
Kijiwe cha kahawa
 
Usisahau Jenerali Ulimwengu mnayemsujudu hapa kila siku ni Mrwanda pia na alikuwa mpaka Mkuu wa Wilaya, Familia ya Mwalimu Nyerere ilitokea Rwanda pia sasa sijui laana yako ianzie awamu ipi?

Hata Raisi wako Samia alienda kwa Kagame kuripoti mpaka Mkuu wa Majeshi ya JMTZ Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi chini ya Samia wote walienda kuripoti kwa Kagame na hata Uraisi wa Samia unalindwa na Kagame kama ulikuwa haujui, …
Kagame anaulindaje urais wa samia hivi unajielewa wewe
 
Back
Top Bottom