johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Cha ajabu nini?!Sasa huyo wa kunibana mimi ndio kwamba siku hizi Uhamiaji wa kwetu wanafanyakazi Zimbabwe?😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha ajabu nini?!Sasa huyo wa kunibana mimi ndio kwamba siku hizi Uhamiaji wa kwetu wanafanyakazi Zimbabwe?😄😄
Muhasisi wa ubaguzi ni yule shetani wa chato, sisi tunachofanya ni kumuenzi tu, ubaya wetu ni nini?Lema asiipangie mamlaka ya uteuzi.
Huu ubaguzi wenu acheni. Sumu mnayoisambaza mkidhani inafaida it will hit you back. Nachukizwa mno na watu wanaoeneza ubaguzi nchini.
Kuropoka JF rahisi sana, hivi wewe ukidakwa uambiwe udhibitishe hayo uliyoongea utaweza kudhibitisha? Kuna Shida mnamtafutia Melo ambazo ni unnecessaryUsisahau Jenerali Ulimwengu mnayemsujudu hapa kila siku ni Mrwanda pia na alikuwa mpaka Mkuu wa Wilaya, Familia ya Mwalimu Nyerere ilitokea Rwanda pia sasa sijui laana yako ianzie awamu ipi?
Hata Raisi wako Samia alienda kwa Kagame kuripoti mpaka Mkuu wa Majeshi ya JMTZ Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi chini ya Samia wote walienda kuripoti kwa Kagame na hata Uraisi wa Samia unalindwa na Kagame kama ulikuwa haujui, …
Pacha hakupata ubunge walimla kichwa,alikua anagombea jimbo la busanda
Ni kweli wote wamekulia jimbo la Busanda katika kijiji cha Nyaruyeye,ila mwenyekiti wa CCM aliyepita ndo alimla kichwa Kulwa Biteko aliyekua anaongoza katika kura za maoni
Acha kutisha watu mjinga wewe, wengine wanaandika hizi post wakiwa ikulu, wengine North Korea, wengine Marekani.Kuropoka JF rahisi sana, hivi wewe ukidakwa uambiwe udhibitishe hayo uliyoongea utaweza kudhibitisha? Kuna Shida mnamtafutia Melo ambazo ni unnecessary
Hahaha kwa Biteko waziri hakai magetini!!!!! Kwa January mnataka aende mawinguni akashushe mvua!!! Hakuna watu wanafiki kama wafuasi wa MarehemuWewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!
Mtu wa ikulu hawezi andika upuuzi kama huoAcha kutisha watu mjinga wewe, wengine wanaandika hizi post wakiwa ikulu, wengine North Korea, wengine Marekani.
Mbona hamkumdaka kigogo na sasa ndio vuvuzela la chama chetu na serikali yetu sikivu?
Mimi niliyesema anafanya Uhamiaji Zimbabwe na Wewe uliyesema yupo Mjengoni wote ni wale wale... tena afadhali aliyesema anafanya Uhamiaji Zambabwe..Sasa huyo wa kunibana mimi ndio kwamba siku hizi Uhamiaji wa kwetu wanafanyakazi Zimbabwe?[emoji1][emoji1]
Tanzania ni zaidi ya uijuwavyo, unamjuwa Kigogo?Mtu wa ikulu hawezi andika upuuzi kama huo
Naona Avatar yako ni ya binti mrembo, jinsia yako tu nakupa tu respect tuishie hapo.Mimi niliyesema anafanya Uhamiaji Zimbabwe na Wewe uliyesema yupo wote ni wale wale... tena afadhali aliyesema anafanya Uhamiaji Zambabwe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kumjua tu, unaweza kuta ndiye unabishana naye hapa na kumuita mjinga!! JF hatufahamiani Chief...Tanzania ni zaidi ya uijuwavyo, unamjuwa Kigogo?
Wanamlindaje mkuu?mbona hujielewi?kwa hiyo na urais huu wamempa wao?basi nchi yetu haina vyombo vya ulinzi na usalama.Hilo mjiulize ninyi msiolewa, Boss wa Samia ni Paul Kagame na Uhuru Kenyata na wamemuhakikishia ulinzi, …
Ok
Kwahiyo ukae kwa kutulia. JF ni universal ipo dunia mzima.Siyo kumjua tu, unaweza kuta ndiye unabishana naye hapa na kumuita mjinga!! JF hatufahamiani Chief...
Sukuma Kingdom is going down slowly and nicelyAliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyoo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri
View attachment 2017279
Kwa majibu yake ni kwamba yupo ubalozini upande wa uhamiajiAkikujibu unistuwe, nilikuwa sijui kama Uhamiaji wetu wanafanyakazi mpaka nje ya Tanzania.
Ila siyo kwa hizo tuhuma alizoshusha jamaa, too much.Kwahiyo ukae kwa kutulia. JF ni universal ipo dunia mzima.
Mwambie kuwa anafanyia kazi ubaloziniCha ajabu nini?!