Kwamba ni mutu ya ngambo hapoHuyu jamaa ni Bahima kabisa
Sijui walimpate wizara vyeti mtusi kabisa huyu yaani nchi hii walipewa wageni ilaaniwe awamu ya tanoHuyu jamaa ni Bahima kabisa
Tale tale ndiye mrithi wa Biteko.
Japo wengine wanasema ni Zungu!
Sijui walimpate wizara vyeti mtusi kabisa huyu yaan nchi hii walipewa wageni ilaaniwe awamu ya tano
Ana tuhuma nyingi Sana huyu jamaa tena alitakiwa kuondoka mapema Sana,tumpe yule mbunge wa MbogweWala sio mtu wa mitandao kabisa, kwa hilo unamuonea
Umesema uongoWalinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.
Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.
Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Issue ni je anayekuja yupoje? Maana inaweza kuwa afadhali ya aliyetokaBiteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.
Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.
Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI
Huyo amekurupuka, anasema pacha wake kulwa Biteko nae yupo bungeni kitu ambacho sio kweliWewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!