NostradamusMh Lema ni Nosrodam wa Tz
Siyo arrogant ni arrogancealitabiri arrogant will send jpm kaburini ikawa hivyo
Arrogancealitabiri arrogant will send jpm kaburini ikawa hivyo
Wanazusha eti yule chapombe fundi mashine ya kukoboa eti sijui nini?? Mimi hata siwaamini
Mkuu hii code ngumu kufungua...msaada tafadhaliWanazushi eti yule chapombe fundi mashine ya kukoboa eti sijui nini?? Mimi hata siwaamini
Naunga mkono hojaLema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nosrodam wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Jamaa anaona mbali snJamaa yake Dr Pima cha ujanja, anaweza kuwa shuhuda wa hili!