Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu mihapase , sitatizwi kabisa na wanaodhani nimeishiwa busara, kwa ku support ujinga hivyo wananishusha daraja, kwa sababu mimi najijua.unaanza kuishiwa busara sasa na wewe unaunnga mkono ujinga kama huo kweli tulikuwaga tunakuona wa maana lakini sasa tunakushusha daraja
P