Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Mwaashambwa anachangia kwa adabu sana kwenye mada hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba Vanga the Balkan prophet !Au BABA VANGA 😳
Tunajifunza, wenye lugha wanasema practice makes perfectSi muwe mnaandika kwa kiswahili mnachokimudu kuliko kuandika huu ushuzi unaofanana na kiingereza?
Kuna tofauti kati ya utabiri na Unabii. Watabiri wanatumia nyota na nguvu zingine za giza lakini Unabii unatoka kwa Mungu au ni tamko la mtu wa Mungu aliyejaa Roho Mtakatifu. Godbles Lema ameokoka na anapotamka mambo anatamka akimaanisha. Ana wito wa kutetea Haki ktk nchi na wanaitaka kumhijuma watapata tabu. Yeyote aliye na Kristo na kujaa nguvu za Roho anaweza kutamka mambo na yakawa. Lakini pia kuna manabii ambao wameitwa na Mungu kuwa manabii. Hawa wanafundisha Neno la Mungu la wakati. Yaani ujumbe wao wakiusema baada ya muda tunaanza kuona yakitokea!Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nosrodam wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Nostradamus hakuwa nabii alijuwa mtabiri tu mnajimu. Mnajimu anaweza kutabiri yakatokea na yasitokee. Mungu akiingilia hayawezi kutokea.Baba Vanga the Balkan prophet !
Michel Nostradamus the French Prophet !
Lema je ???!
Yule mamlaka iliingilia kati.Mbona Ndugai yupo anadunda na alisema hawezi ishi?Lema mchumia tumbo amna cha Nabii angelikuwa Nabii chadema isingelikuwa hoi hivi.
Nami nimejiunga JF ili niongeze idadi.Pascal pia ni nabii wa jamii forum
Hata huyo Nostradamus alisema hivyo kwamba aliyotabiri yanaweza yasitokee kwa Uwezo wa Mungu 🙏🙏Nostradamus hakuwa nabii alijuwa mtabiri tu mnajimu. Mnajimu anaweza kutabiri yakatokea na yasitokee. Mungu akiingilia hayawezi kutokea.
Msitishike, wale waasi wa kule "N'chumbiji" hawajavuka mpaka kuingia Tz Bado .Mnatutisha tulio huku Nanjirinji
Itaacha kuwa hoi Wakati Kila siku mnawateka na kuwaua watu wake!? Unafikiri wananchi wanaotaka kujiunga nao hawataogopa!? Acheni kushangilia ushetani nyie ma_qumerMbona Ndugai yupo anadunda na alisema hawezi ishi?Lema mchumia tumbo amna cha Nabii angelikuwa Nabii chadema isingelikuwa hoi hivi.
Inawezekana siku zijazo utabiri wa Nabii huyu muhuni kutoka ArushaNaunga mkono hoja
P
Naunga mkono hoja
Huyo nae mshamba tuu atakua na stress huyu.Mbona wazungu wakiongea kiswahili japo kibovu mnawasifia, kiingreza ni lugha la washenzi tu la wakoloni.
Huyu atakuwa ni yeye mwenyewe anaijipa promo ya kipuuzi kabisaNimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingizi
JF sio kituo cha pre-form oneTunajifunza, wenye lugha wanasema practice makes perfect
Wewe si Ndio unaganyaga hizo kazi za kutoa uhai wa watu, umeshapewa oda ya kmaliza Lema?Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nostradamus wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Nk kituo kwetu, hutaki ignore vingereza vyetuJF sio kituo cha pre-form one
Sidhani kama aliwahi kuumbuka, shida ni nyie mlipenda kuwe na episode nyinginebritanicca safari hii hutaki kuja kuumbuka?