Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Kuna tofauti kati ya utabiri na Unabii. Watabiri wanatumia nyota na nguvu zingine za giza lakini Unabii unatoka kwa Mungu au ni tamko la mtu wa Mungu aliyejaa Roho Mtakatifu. Godbles Lema ameokoka na anapotamka mambo anatamka akimaanisha. Ana wito wa kutetea Haki ktk nchi na wanaitaka kumhijuma watapata tabu. Yeyote aliye na Kristo na kujaa nguvu za Roho anaweza kutamka mambo na yakawa. Lakini pia kuna manabii ambao wameitwa na Mungu kuwa manabii. Hawa wanafundisha Neno la Mungu la wakati. Yaani ujumbe wao wakiusema baada ya muda tunaanza kuona yakitokea!
 
Mbona Ndugai yupo anadunda na alisema hawezi ishi?Lema mchumia tumbo amna cha Nabii angelikuwa Nabii chadema isingelikuwa hoi hivi.
Itaacha kuwa hoi Wakati Kila siku mnawateka na kuwaua watu wake!? Unafikiri wananchi wanaotaka kujiunga nao hawataogopa!? Acheni kushangilia ushetani nyie ma_qumer
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nostradamus wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Wewe si Ndio unaganyaga hizo kazi za kutoa uhai wa watu, umeshapewa oda ya kmaliza Lema?
 
Back
Top Bottom