dictson
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 257
- 557
😂Wabongo kwa kukosoana hawajambo! Angekua mzungu kakosea kiswahili, angesifiwa anawezaSiyo arrogant ni arrogance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Wabongo kwa kukosoana hawajambo! Angekua mzungu kakosea kiswahili, angesifiwa anawezaSiyo arrogant ni arrogance
Umesahau Mh Lema alitamka nn Bungeni mbele ya Mh Ndugai???Mbona Ndugai yupo anadunda na alisema hawezi ishi?Lema mchumia tumbo amna cha Nabii angelikuwa Nabii chadema isingelikuwa hoi hivi.
Pascal zamani alitabiri uraisi wa magufuli back in 2014. Hakuna aliyewazia kwa wakati huo.Pascal pia ni nabii wa jamii forum
Eti nabii. Sijui umekula maharage ya wapi Leo wewe. Nabii wa nyumbani kwako labda.Naweza kusema na mimi amenituma niseme wanaosema ni waongo.... Haya mambo ukiyafuatilia utaona kwamba kuna ka utapeli ndani yake...; Sababu kama amewachagua wao kwanini asinichague mimi, after all nina uhakika mengi aliyosema hayajatokea kuliko yaliyotokea
Unajua hata kusoma na kuelewa ? Unajua maana ya neno naweza kusema na maana yake ? Fahamu kwanza maana ya hayo maneno alafu urudi kunisoma upyaEti nabii. Sijui umekula maharage ya wapi Leo wewe. Nabii wa nyumbani kwako labda.
Nitakuchukulia hatua kali za kinidhamu.Nk kituo kwetu, hutaki ignore vingereza vyetu
Huna ubavu huo bwanamdogoNitakuchukulia hatua kali za kinidhamu.
Sijamkosoa nimemrekebisha, everything is good or bad depending on how you perceive them😂Wabongo kwa kukosoana hawajambo! Angekua mzungu kakosea kiswahili, angesifiwa anaweza
HATOGOMBEA!!Na wewe tabiri😀
Umeingiza rupepo iwwehHaya mwambie akutabirie kifo chako!
Kifo kina namna nyingi, kuna watu wanakufa kabla ya kufa kimwili. Ndugai kafa kisiasa, mpaka sasa ndoto zake kisiasa zimezikwa na wale aliokuwa anawalinda bungeni!Mbona Ndugai yupo anadunda na alisema hawezi ishi?Lema mchumia tumbo amna cha Nabii angelikuwa Nabii chadema isingelikuwa hoi hivi.
Arrogant jpm au Jpm arroganceArrogance
kaburini anaenda yeyote...kaburini nikwetu sote.Alitabiri arrogant will send jpm kaburini ikawa hivyo
yaaani huyu chizi ndiyo awe nabii? kwakweli mmeishiwa akili sasa mnaanza kuwa machizio woteLema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nostradamus wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
unaanza kuishiwa busara sasa na wewe unaunnga mkono ujinga kama huo kweli tulikuwaga tunakuona wa maana lakini sasa tunakushusha darajaNaunga mkono hoja
P
Afungue Kanisa sasa aachane na siasa. Huko CCM imetamalaki!Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.
Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea
Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.
Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025
Lema ni Nostradamus wa Tanzania
PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?