Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Nimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingiziNabii uchwara mbona alishindwa kutabiri ujio wa lowassa 2015?