Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Nabii uchwara mbona alishindwa kutabiri ujio wa lowassa 2015?
Nimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingizi
 
Nimemshangaa sana huyu ndugu kwa kutuletea habari za lema watu wenye akili zetu timamu uanze kutuambia habari za ndoto.Labda mleta andiko yeye ndiye kaandika andiko lake baada ya kutoka usingizini au akiwa na usingizi
Hivi unadhani akili timamu ni Kama uongo kuwa kila sehemu upo?
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025🤔🥺
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?

Akitumia akili yako vizuri waweza predict mambo yatakayotokea Tanzania
 
I
Lema huzungumza fact za maisha na wala sio utabiri. Tatizo wengi wetu tunapuuza sana fact za maisha.
Iko vile bandugu !
Ila watu wengi hawatakuelewa kwa sababu wao hawana hizo Akili zenye uwezo wa kuchanganya two and two together ili kujuwa what is going to happen next !😳!

Ni wachache wenye Akili kama hizo !
Including me 😳🙄 !
 
Back
Top Bottom