Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Kwamba huyo mwenye message huwa anahitaji messenger ? Hivi kweli anashindwa hata ku realese hizo habari directly kwa kila mtu; Sababu naona teknolojia inayotumika ni ya zamani sana yaani bora hata Bluetooth..., hii ni before Morse Code
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
P anatuambia je kwani?
 
Wengine wapo kwenye circle Fulani ya watu, hivyo anachukua alichokipata halafu anawaambia kama utabiri...ni kama yule jamaa huko ulaya jina lake linaloishia na "mus", mtabiri, kumbe inawezekana na ushahidi upo kuwa alikuwa kwenye circle Fulani ya top elite ya wapanga matukio.
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Lema huzungumza fact za maisha na wala sio utabiri. Tatizo wengi wetu tunapuuza sana fact za maisha.
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?
Haya mwambie akutabirie kifo chako!
 
Mkuu, mimi ni mfuasi wa JPM kindakindani, lakini ogopa sana mtu anayetamka jambo kwa kutumia jina la Mungu huku akimaanisha kwa imani.

Ndiyo maana ukilitumia kwa dhihaka, inakula kwako haswa!

Nasikia kuna timu ilimwomba Mungu awatumie timu ya malaika kutoka mbinguni ili wacheze nao, maana duniani kote ni vibonde. Tuliona wenyewe juzi hiyo timu ya malaika ilipocheza nao, nini kilichotokea.

Lema unaweza kusema ni aina ya watu kama akina Martin Luther King Jr. yule Mmarekani.
 
Mkuu, mimi ni mfuasi wa JPM kindakindani, lakini ogopa sana mtu anayetamka jambo kwa kutumia jina la Mungu huku akimaanisha kwa imani.

Ndiyo maana ukilitumia kwa dhihaka, inakula kwako haswa!

Nasikia kuna timu ilimwomba Mungu awatumie timu ya malaika kutoka mbinguni ili wacheze nao, maana duniani kote ni vibonde. Tuliona wenyewe juzi hiyo timu ya malaika ilipocheza nao, nini kilichotokea.

Lema unaweza kusema ni aina ya watu kama akina Martin Luther King Jr. yule Mmarekani.
Tumeonya sana humu lakini tulipuuzwa, sasa wasubiri balaa zaidi
 
Kwamba huyo mwenye message huwa anahitaji messenger ? Hivi kweli anashindwa hata ku realese hizo habari directly kwa kila mtu; Sababu naona teknolojia inayotumika ni ya zamani sana yaani bora hata Bluetooth..., hii ni before Morse Code
Hivi wewe unampangiaye mwenye ujumbe jinsi ya kuufikisha ujumbe wake? Kama unataka afanye unavyotaka, basi kuwa yeye ili ufanye utakavyo. Sijui unaelewa hata?
 
Lema huenda akaingia katika moja ya vitabu vya kumbukumbu kutokana na michango yake yenye kuwa na ukamilifu mkubwa baada ya kutabiri.

Alitabiri vifo vya wakubwa na vikatokea

Ametabiri watu kufungwa na kweli wakafungwa.

Siku za karibuni amesema wanaotaka kumuua wamuue ila hato kimbia taifa lake. Ametabiri mambo mazito sana ambayo huwenda yakatimia 2023 to 2025

Lema ni Nosrodam wa Tanzania

PIA SOMA
- Je, ndoto za Godbless Lema ni utabiri au sayansi ya uchawi katika siasa?

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Mwanzo wa kuibua manabii uchwara
Mkuu Numbisa , nashangaa leo hujaweka ile signecha yako ya Duh! Aiseee!

Ila yote kwa yote, tambua kitu kimoja kwamba ukisubiri Mungu akutumie malaika Gabrieli ndiye azungumze nawe, utangoja sana.

Jifunze hapa duniani kumwona kila mtu kama nabii aliyetumwa kwako kutoka mbinguni. Kama mawe mafwe (dormant) yanaweza kunena, seuze watu wenye akili?

Hakuna kitu ambacho Mungu hawezi kukitumia ili akufikie wewe. Anatumia vichaa, anatumia watu wenye utimamu wa akili. Anatumia makapi na ngano kukuokoa wewe. Anatumia kila kitu ili tu ujumbe ukufikie.

Usirudie tena kudhani hadi nabii Isaya au Ezekieli au Yohana Mbatizaji aje kwako, ndipo ujue eti ujumbe huo umetoka kwa Mungu.

^Wasipowasikia Musa na manabii, hawatoshawishika hata mtu angefufuka katika wafu.^ ~Luka 16:31
 
Back
Top Bottom