Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

Mbona sasa hivi kuna kasi kubwa ya watu kuanzisha mada zenye mafumbo mafumbo humu JF? Kuna kitu gani kinaendelea huko Tanganyika?
Kuna watu wazito wazito humu Jf wameandika kwa mafumbo to mention fews..
Bratanicca
Tumaini El
Today's
Yoga
Gentamicine
Tukana uone
Mshana jr.
 
Mnaharibu lugha za watu. Km ulikimbia somo bora ubaki kimya. Mwenzio kasema ARROGANT na Yuko sahihi kabisa. Nyie mnasema ARROGANCE. Jifunzeni tofauti ya haya maneno kwa matumizi yake bila kukosoa kabla ya kujifunza.
Mkuu, embu fanya msaada wa kuwaelezea tofauti yake.

KNOWLEDGE IS POWER.
 
Mh Lema Shikamoo
 
Anabahatisha tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…