Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umeuliza jawabuKwa nini mtoa mada humpendi Samia?
Huwa Naona unamsifu Magufuli kisha Makonda. Samia hujawahi.
Unatatizo la Ukabila?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeuliza jawabuKwa nini mtoa mada humpendi Samia?
Huwa Naona unamsifu Magufuli kisha Makonda. Samia hujawahi.
Unatatizo la Ukabila?
Sisi tulioko Arusha tunajua kwamba Lema hana mvuto tena Arusha. Ponea ponea ya chadema ni labda wamsimamishe mgombea mwingine, lema abaki anakipigania chama.Inawalazimu wapiga kura wa Arusha Mjini kuhakikisha wanalinda kura zao kama walivyofanya mara ya kwanza Lema aliposhinda ubunge wake, bahati nzuri huu uteuzi wa Makonda naona umewaamsha wale jamaa, kulinda kura huwa sio waoga.
Najiuliza sijui Samia nae aliiona ile picha ya Lema aliyogoma kumpa mkono Makonda!.
Sabaya hafanyi tena masihara.Wewe tulikuambia kwamba Makonda hana maisha ccm ukabisha , sasa nakuambia tena hapo Arusha hamalizi miezi 6
Arusha haihitaji combination, hata ungempeleka nyetanyau hawana mbambamba, wanakumwaga tu.Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Hivi makonda anawasemea wapi hao masikini Kwa hiyo ukiwa tajiri ni kosa TanzaniaCombination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Watanzania wengi vichaahaaa,,tehe,,tehe,,Lema mwizi wa nini,,,?🤣😅
Hawa akina Etwege ndio wabeba kura za wizi kwenye mifuko ya Sandarusi. Ndio maana hawaamini Mbunge wamtakaye lazima ateuliwe na Wapigakura.Kwani maamuzi ya kuchagua mbunge ni ya bwana Lema au wakazi wa Arusha? Kama wakazi wa Arusha hawana haki ya kuchagua mbunge wamtakaye kuna haja gani ya kampeni pamoja na uchaguzi?
Watu kama mtoa hoja wana kiu na damu za Watanzania hasa wasio wana CCM. Wanafurahia ouvu. Wapumbavu kabisa.Muda mwingine mtoa hoja acha upumbavu,Tanzania haina hati miliki ya ccm,na wote hao uliowataja wamehusishwa na ukatili wa kuua binadamu wenzao,time will tell kwa sasa mfumo hauruhusu kuwapeleka kwa court,nchi hii haisogei mbele kutokana na upumbavu kama huu wa mtoa hoja,hao wote uliowataja ni nini kipya watakuja nacho?kabla ya kutoa msukumo ili young guy's wapya waje kwenye systems na uwezo na mawazo mapya wewe bado upo kwenye ushenzi ule ule wa kuzungusha taka
Huyo jamaa anawashwa sana huko nyuma kwake,achana naye.Umeanza lini uhakimu mpaka kumuita mwanasiasa nguli "mwizi wa magari"? Alishawahi kukuibia lako pia?
maskini mnyang'anyi hata ramli hafanyagi tena skuizi 🐒Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Kwani hizo ni tuhuma za Lema nenda ubalozi wa Marekani waombe wakupatie utibitisho, acha kuishi kwa kushikiwa akili. Mwulize Makonda kwa nini hana visa ya USA?Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Lema ana life lake, wewe hapo ulipo ni una life la kuunga uunga tuCombination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Mnajuwa fika kuwa kwa ubabe wa ccm kila kitu kinawezekana na wabunge wote wa ccm wanaweza kupita bila kupingwa kama ilivyotokea. Wewe kwanini unakua mjinga kiasi hicho kushabikia upuuzi huu?Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Hilo jitu masikini litapata wapi gari? Hata uwezo wa kumiliki baiskeli unaweza kuta hana.Umeanza lini uhakimu mpaka kumuita mwanasiasa nguli "mwizi wa magari"? Alishawahi kukuibia lako pia?
Inawalazimu wapiga kura wa Arusha Mjini kuhakikisha wanalinda kura zao kama walivyofanya mara ya kwanza Lema aliposhinda ubunge wake, bahati nzuri huu uteuzi wa Makonda naona umewaamsha wale jamaa, kulinda kura huwa sio waoga.
Najiuliza sijui Samia nae aliiona ile picha ya Lema aliyogoma kumpa mkono Makonda!.