Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani maamuzi ya kuchagua mbunge ni ya bwana Lema au wakazi wa Arusha? Kama wakazi wa Arusha hawana haki ya kuchagua mbunge wamtakaye kuna haja gani ya kampeni pamoja na uchaguzi?

Tangu lini Arusha wakachagua mwizi?
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.


Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Hata iwapo akaingia sanduku la kura na chief wenu mupya hapo jimboni anambwaga mbaya😅
 
Hilo jitu masikini litapata wapi gari? Hata uwezo wa kumiliki baiskeli unaweza kuta hana.
Fuatilia mawazo yake utagundua

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Mwizi wa magari hata uwezo wa kulisha familia yake hana, amewaachia wazungu walee huku wakimtafuna mke huko canada
 
Inawalazimu wapiga kura wa Arusha Mjini kuhakikisha wanalinda kura zao kama walivyofanya mara ya kwanza Lema aliposhinda ubunge wake, bahati nzuri huu uteuzi wa Makonda naona umewaamsha wale jamaa, kulinda kura huwa sio waoga.

Najiuliza sijui Samia nae aliiona ile picha ya Lema aliyogoma kumpa mkono Makonda!.
Ebu iweke hapa hiyo picha
 
Kwani hizo ni tuhuma za Lema nenda ubalozi wa Marekani waombe wakupatie utibitisho, acha kuishi kwa kushikiwa akili. Mwulize Makonda kwa nini hana visa ya USA?

Kutoa uthibitisho ni mpaka waombwe?
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.


Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Mkusanyiko wa wahalifu
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.


Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
🤣🤣🤣 Lema ni mshamba na mtaalamu wa kubwabwaja
 
Akili za kushikiliwa
Makonda Hana uwezo wa kuzui kura za Lema Wala kumbuguzi
Akicheza tuu yayakayomkuta Samia hatamuacha kwani aliyemrudisha Lema ni Samia
Samia ni muungwana kupitiliza

Alafu mke wa Lema yuko wapi?
 
Hivi huyo Lema amewahi kuogopa kiongozi yupi hapa Tanzania zaidi ya mwendazake ambaye hatuko naye?Lema ni kati ya viongozi wachache wa Chadema ambao wana ujasiri wa kumkabiri kiongozi yeyote mkorofi kwa courage ya hali ya juu without hesitation
 
Hivi huyo Lema amewahi kuogopa kiongozi yupi hapa Tanzania zaidi ya mwendazake ambaye hatuko naye?Lema ni kati ya viongozi wachache wa Chadema ambao wana ujasiri wa kumkabiri kiongozi yeyote mkorofi kwa courage ya hali ya juu without hesitation

Kuiba magari na kuyauza nje ya nchi lzm usiwe muoga kbs
 
Chief kama Lema ni mwizi kwanini polisi wanamucha mtaani? Wameshindwa kumshitaki toka akiwa mbunge mpaka leo akiwa raia wa kawaida?

Kama Makonda ni muuwaji kwa nini polisi wanamuacha?
 
Wewe ni Mpumbavu kuliko makonda, una kila sababu ya kumtukuza.
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu tena mazoezi ya jinsi ya kutorokea kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.


Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Au na wewe alikudinya bure
 
Back
Top Bottom