Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kuleta thread ya maana, Siku zote unaletaga ujinga mtupu!Familia ya Lema iko wapi?
Familia ya Lema iko wapi?
Sisi huku akina Nani?? JF imekua na utoto kiasi hiki??akaombe ubunge canada huko. sisi huku hatumtaki
Mimi na wewe na wengineSisi huku akina Nani?? JF imekua na utoto kiasi hiki??
SawaMimi na wewe na wengine
kama upo karibu na duka chukua soda hapo talipa mimi.Nani ampe tapeli , jasusi kama lema hakuna
Mkuu huyo ni sukuma gang, hapo alipo anaumia sana sema hana cha kufanya. Mbaya zaidi huwa haamini kama magu kashadanja na wala hatagombea tena. Umchafue, umsifie hana maajabu tenaKwa nini mtoa mada humpendi Samia?
Huwa Naona unamsifu Magufuli kisha Makonda. Samia hujawahi.
Unatatizo la Ukabila?
Mama aliona ndio mana kampelekea moto.Inawalazimu wapiga kura wa Arusha Mjini kuhakikisha wanalinda kura zao kama walivyofanya mara ya kwanza Lema aliposhinda ubunge wake, bahati nzuri huu uteuzi wa Makonda naona umewaamsha wale jamaa, kulinda kura huwa sio waoga.
Najiuliza sijui Samia nae aliiona ile picha ya Lema aliyogoma kumpa mkono Makonda!.
Makonda ameenda chuo cha siasa, akimaliza salama hapo atakuwa amefuzu!Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.
Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.
Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.
Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Wakati huu kuna watu wameamua liwalo na liwe, akumbuke hawezi kutumia tena polisi kama alivyofanya enzi za shetani Magufuli!Ameshasoma