Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Una uwoga wa kikekike! Au wewe WAHIVYO maana hatujuani?! Anayeweza kudhulumu maisha ni rais alopewa haki isiyostahili na katiba isiyofaa!!
Hawa wengine tunamudiana labda wangepata bakapu ya rais kitu ambayo kwasasa hakuna...hatuna mad man palejuu
 
Una uwoga wa kikekike! Au wewe WAHIVYO maana hatujuani?! Anayeweza kudhulumu maisha ni rais alopewa haki isiyostahili na katiba isiyofaa!!
Hawa wengine tunamudiana labda wangepata bakapu ya rais kitu ambayo kwasasa hakuna...hatuna mad man palejuu

Ya chacha wangwe
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Wewe umethibitisha alivyokuibia gari huyo Lema?Una kifaduro wewe.
 
Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.
Safari hii sidhani atamkuta "mfukuza upepo" atakaye mpandisha kwenye pikipiki yake akiwa amevaa baibui na vipodozi vya amberluti.

Shauri yake.
 
atawaondoa majambazi huko

iu

Yaondolewe.
Kampeni zianze poooh
 
Makonda ni wizi mtupu!🤓🤓😃
Wapambe wa dikteta uchwara wanatudanganya hapa eti zero brain amtishe Lema.

Halafu mleta mada yuko kwao Simiyu huko hajui kwamba kuingia hata huko Canada na kupata political asylum sio rahisi mpaka wachunguze kweli kuona unakimbia hatari na ndio kilichotokea 2020.

Anafikiri mtu unaweza kuamka tu na kukimbilia Canada kuwa unawindwa kirahisi tu.

Dikteta uchwara alitengeneza political refugees na hiyo inajulikana wazi kwenye jumuiya za kimataifa , Bashite ni muuaji inajulikana ndio maana alipigwa ban yeye pamoja na mkwewe kutia mguu hapa US.
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Kuna uwezekano wa yeye kutimuliwa hata huko Canada
 
Wapambe wa dikteta uchwara wanatudanganya hapa eti zero brain amtishe Lema.

Halafu mleta mada yuko kwao Simiyu huko hajui kwamba kuingia hata huko Canada na kupata political asylum sio rahisi mpaka wachunguze kweli kuona unakimbia hatari na ndio kilichotokea 2020.

Anafikiri mtu unaweza kuamka tu na kukimbilia Canada kuwa unawindwa kirahisi tu.

Dikteta uchwara alitengeneza political refugees na hiyo inajulikana wazi kwenye jumuiya za kimataifa , Bashite ni muuaji inajulikana ndio maana alipigwa ban yeye pamoja na mkwewe kutia mguu hapa US.

Bashite siyo mwizi wala ombaomba kama huyo mmachame Lema
 
Bashite siyo mwizi wala ombaomba kama huyo mmachame Lema
Kulwa Jilala una vituko !

Unafikiri kupata political asylum ni sawa na kusafiri kutoka Simiyu kwenda Mwanza?

Jielimishe ushamba ukutoke.
 
Kulwa Jilala una vituko !

Unafikiri kupata political asylum ni sawa na kusafiri kutoka Simiyu kwenda Mwanza?

Jielimishe ushamba ukutoke.

Kulwa jilala ndiyo nani?
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Huo ndio ukweli halisi!
Kwa sasa tumegundua kwamba Chadema ni genge la wakora wa kisiasa ambao wanatumia siasa kusaka tonge!
Hawana sera bali kuchafua CV za opponents wao kisiasa na kuendesha siasa bila sera wala hoja zenye mashiko kwa wananchi.
badala yake wanaendekeza visasi na kutukana watu hata waliotangulua mbele za haki.uwezo wa Chadema kubuni sera ndio umefikia ukomo.
uwezo wa Chadema kutetea wananchi umekwisha na sasa wanatetea mafisadi.viongozi kama Mbowe amefikia mahali anawadhurumu hata waandishi wa habari wa gazeti lililomuinua kisiasa la Tanzania Daima.
kisiasamtuou!Chadema
 
Kwa sasa tumegundua kwamba Chadema ni genge la wakora wa kisiasa ambao wanatumia siasa kusaka tonge!
Hawana sera bali kuchafua CV za opponents wao kisiasa na kuendesha siasa bila sera wala hoja zenye mashiko kwa wananchi.
badala yake wanaendekeza visasi na kutukana watu hata waliotangulua mbele za haki.uwezo wa Chadema kubuni sera ndio umefikia ukomo.
uwezo wa Chadema kutetea wananchi umekwisha na sasa wanatetea mafisadi.viongozi kama Mbowe amefikia mahali anawadhurumu hata waandishi wa habari wa gazeti lililomuinua kisiasa la Tanzania Daima.

Chadema ni adui namba 3 wa taifa
 
Back
Top Bottom