Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Pre GE2025 Godbless Lema anza mazoezi ya jinsi utakavyorudi Canada, ubunge umeota mbawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa mafahari wawili sijui wataishije. Mmoja ni mtuumiwa wa uuaji asiyetakiwa nchi yoyote ya Ulaya na usukumani. Mwingine ni mtuhumiwa wa wizi wa magari mtaalamu. Kimeumana Arusha.
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Tutamlinda 'Rais' wetu wa kaskazini dhidi ya udhalimu na uovu wa wabaya. Tunajua kila ovu litashindwa hakuna atakayeenda kuishi uhamishoni
 
Real definition ya "unatangaza amani huku umeshika mapanga"
Unatangaza 4R alafu unachagua mtu asiyefaa (atekaye,atesaye,atishiaye,avamiaye,adharauye,atukanaye nk.) kukuwakilisha mahali maana yake unamuelewa anayofanya na hatawewe unafanya/ungefanya hivyohivyo!!
Nchi ikiongozwa kihila haiwezi kupata maendeleo ya kweli.
Katiba iloandaliwa Kwa mwezi mmoja ni mfano wa Hila katika kuongoza
 
Kuna maisha ya kufa. Utalipwa kwa kila uletenda ktk dunia hii
Wakati huo utajuta sana kwa uovu ulioutenda duniani na hakutakuwa na wa kukutetea wala kukupendelea ili upunguziwe adhabu.
 
Kama Makonda ni muuwaji kwa nini polisi wanamuacha?
Huyo Makonda yupo kwenye system hata angekamatwa Dpp atakataa kuendelea na kesi kama alivyokataa kesi ya Gekul .Lakini huyo Lema kama tuhuma zake zingekuwa genuine angefikishwa kwa majaji ambao ni wateule wa mwenyekiti wa sisiyemu mchana kweupe
 
Tena Lema alipelekwa jela, akakaa huko. Walipotaka kumtoa akawakatalia. Akawaambia kama wanadhani wanaweza kumziba mdomo kwa kumtishia jela, yeye ameamua kuishi jela.

Ikabidi jeshi la polisi limpeleke Siro kumbembeleza Lema akubali kutoka jela. Yule bwana ni jasiri sana, siyo mtu wa mchezo. Na hata alipotoka hakubadili kauli yake, akazidi kusisitiza kuwa Hayati kama asingebadilika na kutenda haki, siku zake zisingevuka 2021.
Nabii Lema si mtu wa mchezo mchezo.That's the reality .
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.

Huu sasa uchokozi, sio siasa.
 
Combination ya Makonda, Gambo, Sabaya ni moto wa kuotea mbali Arusha na haitamwacha salama mwizi wa wa magari Godbless Lema.

Lema aanze tu mazoezi ya jinsi ya kutorokea Kenya tena kisha kwenda Canada alikoficha familia yake.

Hizi tuhuma za Lema kwamba Makonda ni muuwaji wengine huwa tunaziona kama ngonjera tu kwa sababu hajawahi kuthibitisha popote.

Kipindi cha awamu ya tano alikuwaga anasema amezuiwa na Magufuli kuthibitisha lkn sasa ni awamu ya sita na Magufuli hayupo duniani zaidi ya miaka mitatu sasa lkn hakuna ushahidi wowote kutolewa, ni ngonjera tu.

Wanyonge tunao nyanyaswa na matajiri na hatuna sehemu ya kusemea tuko pamoja na Makonda popote alipo. Nyie majizi ya kwenye system mnaodhani mmemkomoa Makonda ndiyo kwanza mmemwinua mbele yetu.
Akimbizwe na nini katika nchi amani? Kwa hiyo Makonda, Sabaya na Gambo wanachukia na Lema mpaka wamtishe akimbie? Nyie mmeja visasi kweli kweli, acha kuwachafua akina Makonda, Sabaya na Gambo
 
Akimbizwe na nini katika nchi amani? Kwa hiyo Makonda, Sabaya na Gambo wanachukia na Lema mpaka wamtishe akimbie? Nyie mmeja visasi kweli kweli, acha kuwachafua akina Makonda, Sabaya na Gambo

Watamshinda kwa kura
 
Lema yuko hoi kisiasa kuliko muda wowote ule
 
Back
Top Bottom