JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Kuna aliyesema kuwa mama ni mjinga, mshmaba, hajiamini, etc, etc, kama walivyokuwa wanamsema JPM wakati huo?..Raisi wa Tanzania ana madaraka makubwa ya ki-mungu-mtu.
..Yanapofanyika mambo mazuri ktk utawala wake sifa zote huenda kwa Raisi.
..Yanapotokea maovu ktk utawala wake lawama zote humuangukia Raisi.
..Ilikuwa ni sahihi kumlaumu Jpm kwa udhalimu uliokuwa ukitokea ndani ya utawala wake.
..Ni sahihi pia kumlaani Ssh kwa udhalimu unaotokea sasa hivi ktk utawala wake.
..Sio sahihi kujaribu kumfutia Jpm makosa yake kwasababu Ssh anarudia makosa hayo.
Kuna aliyesema kuwa mama ni mjinga, mshmaba, hajiamini, etc, etc, kama walivyokuwa wanamsema JPM wakati huo?
Umezingua sana keyboard heroNimeshiriki ila Polisi hawakuwa na uwezo wa kunikamata kwa vile ni darasa la 7
Kwani haya yanayofanyika sasa ndio yanamsafisha na ule udhalimu wake?Mambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?
Shetani magu hawezi kutakata kwa uhayawani ule aliokuwa anafanya.Kuna namna chadema inabidi waende kwenye kaburi la magu wapige goti wamuombee msamaha
Wamempakazia vingi
Kumbe tatizo ni ccm sio magu
Mkuu, hebu tulizana basi.Najiuliza huyo RUBANI wa ndeg hiyo na mhudumu wanaishi Tanzania kweli hawajui ni majizi TU hapa mzee Ali kibao alishishwa kwenye basi na akatekwa na kuuwa?
Inashangaza kwelikweli kwa baadhi ya watu kutaka kuonyesha kwamba magufuli ya aina hii tunayo shuhudia sasa yeye hayakumhusu.Shetani magu hawezi kutakata kwa uhayawani ule aliokuwa anafanya.
Umesema ukweli mtupu.Kila mtu amejua Sasa Ni kiasi gani CCM inaogopa DEMOKRASIA, Ni kiasi gani CCM imedhihirisha inaiogopa chadema.
CCM without police is nothing.
Kulikua na umuhimu gani wa kutumia gharama kiasi kile?
Silaha tukizonunua kwa ajili ya kulinda raia leo zimetumika kuwatisha wale wale walipa Kodi waliozinunua kwa maslahi ya CCM.
Mambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?
Huu ni ule wakati ambapo ccm wanakuwa karibu sana na vyombo vya ulinzi na usalama.Kila mtu amejua Sasa Ni kiasi gani CCM inaogopa DEMOKRASIA, Ni kiasi gani CCM imedhihirisha inaiogopa chadema.
CCM without police is nothing.
Kulikua na umuhimu gani wa kutumia gharama kiasi kile?
Silaha tukizonunua kwa ajili ya kulinda raia leo zimetumika kuwatisha wale wale walipa Kodi waliozinunua kwa maslahi ya CCM.
mfumo aliouacha/asisiMambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?
kwani wewe unaona anajiamini, anapokomaa kusoma hotuba zakeKuna aliyesema kuwa mama ni mjinga, mshmaba, hajiamini, etc, etc, kama walivyokuwa wanamsema JPM wakati huo?
Mimi sioni kwa nini hili liwe swali la kuhangaisha watu kujibu.
Si tulikubaliana ni siku ya maandamano, kwenye ndege alikuwa anatoroka auNabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa.
Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1.
Alipoulizwa sababu ya kukamatwa akajibiwa kwamba ameandamana ndani ya Ndege.
======
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA, Godbless Lema ameeleza Kuwa alikamatwa siku ya jana Saa 12 kasoro 10 jioni, akiwa ndani ya ndege na polisi 10.
Soma Pia:
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
- Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA
- Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa Chadema Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa
Wewe upo kwenye kutetea hisia za kidini acha watu wafanye siasa.Ujinga ni mzigo eti katekwa akakamatwa.
Manabii wa uongo ni wengi tu, hata shoga tito nae nabii.
Siwashangai wajinga ndiyo waliwao.
asituchanganyie mbogaWewe upo kwenye kutetea hisia za kidini acha watu wafanye siasa.