H
Huo ni mfumo wa chama Cha mapinduzi. Hata ajaye njia ni hiyo hiyo. Kwa hiyo dawa ni Moja, kuondoa mfumo mzima!Mambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?