Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Inasikitisha sana mkuu..Jpm alisingiziwa kujenga Sgr wakati hakuwahi kuonekana site akibeba zege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana mkuu..Jpm alisingiziwa kujenga Sgr wakati hakuwahi kuonekana site akibeba zege.
Wakili Dickson Matata na jopo la Mawakili wafunguka mazito ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=xgpTxOl7uS0
Wewe ulitaka Watumie Nguvu gapi? Mbowe tuu ndio aliandamana,wewe ulikuwa wapi? 😂😂Aiseee inasikitisha sana ,wametumia nguvu kubwa sana kuzimisha maandamano.
Jeshi zima la polisi lilikuwa Dar kuanzia Jumamosi ,sehemu zingine za nchi zilikuwa hazina ulinzi kabisa.Wewe ulitaka Watumie Nguvu gapi? Mbowe tuu ndio aliandamana,wewe ulikuwa wapi? 😂😂
Mbona Mikoani kulikuwa na show off zote kama huko Dar?Jeshi zima la polisi lilikuwa Dar kuanzia Jumamosi ,sehemu zingine za nchi zilikuwa hazina ulinzi kabisa.
Aliyekuwa makamu wa dikteta..!!Mambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?
Tunaongozwa na watu wa hovyo snKodi zote na misaada na mikopo zinatumika kulinda ccm group la watu wachache
23 September 2024
Dar es Salaam, Tanzania
CHADEMA chama kikubwa, kimekataa kuburuzwa na chama dola kongwe CCM ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=PnDeK0w0wLk
habari kutoka kituo cha Polisi cha Oysterbay mkoa wa kiPolisi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Tanzania, viongozi wa CHADEMA usiku huu ...
Dictator bimkora yupoMambo hayo yanatokeaje ilihali yule dikteta hayupo tena? Zamani yalikuwa yakitokea, mzigo wote wote wa lawama alikuwa anapewa dikteta yule; je sasa hivi ni nani anabeba mzigo wa lawama?
Wewe haujaandamana ?tumetiwa moyo mtoto wa mbowe kukamatwa akiwa na baba yake next time lema na tundu lisu wawe frontline ya maandamano na watoto wao tutawaelewa zaidi na tutaandamanaNabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa.
Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1.
Alipoulizwa sababu ya kukamatwa akajibiwa kwamba ameandamana ndani ya Ndege.
======
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA, Godbless Lema ameeleza Kuwa alikamatwa siku ya jana Saa 12 kasoro 10 jioni, akiwa ndani ya ndege na polisi 10.
Soma Pia:
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
- Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA
- Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa Chadema Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa
Haters mpoSubirini mapovu toka kwa misukule ya mzee Mbowe
Mbona ww sijakuona mkuu au ww maaandamano yako yapo kwenye JFNabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa.
Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1.
Alipoulizwa sababu ya kukamatwa akajibiwa kwamba ameandamana ndani ya Ndege.
======
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA, Godbless Lema ameeleza Kuwa alikamatwa siku ya jana Saa 12 kasoro 10 jioni, akiwa ndani ya ndege na polisi 10.
Soma Pia:
- Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
- Maandamano ya CHADEMA: Jeshi La Polisi lathibitisha kukamata waandamanaji 14 ikiwemo viongozi wa CHADEMA
- Baada ya Shinikizo la Kimataifa, Viongozi wa Chadema Waanza kuachiwa, Mbowe, Lissu na Lema Waachiwa
Huyu ni mwanasheria au mwanahabari maana sio poa
CrapUjinga ni mzigo eti katekwa akakamatwa.
Manabii wa uongo ni wengi tu, hata shoga tito nae nabii.
Siwashangai wajinga ndiyo waliwao.