Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege

Godbless Lema asimulia jinsi alivyokamatwa Jumapili na kuandikiwa kosa la kuandamana kwenye ndege

Jeshi zima la polisi lilikuwa Dar kuanzia Jumamosi ,sehemu zingine za nchi zilikuwa hazina ulinzi kabisa.
Mbona Mikoani kulikuwa na show off zote kama huko Dar?

Aliyekudanganya ni nani? Msikilize RPC wa Mbeya hapa 👇

View: https://youtu.be/G5QIkifaqNE?si=PMKKESUViHKlSW2j

Na Kwa taarifa Yako tuu show off zimefanyika Nchi nzima na Kwa sehemu tuu ya Askari ambao hawakuwa kwenye majukumu.

Na Kwa taarifa Yako baada ya Walimu, taasisi nyingine yenye Watumishi wengi hapa Tanzania ni Polisi so hao walikuwa wachache sana kulingana na level ya alert
 
23 September 2024
Dar es Salaam, Tanzania

CHADEMA chama kikubwa, kimekataa kuburuzwa na chama dola kongwe CCM ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=PnDeK0w0wLk

habari kutoka kituo cha Polisi cha Oysterbay mkoa wa kiPolisi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam Tanzania, viongozi wa CHADEMA usiku huu ...

Ayo Tv ni wanafiki wakubwa.

Wanajitokeza kwenye oparesheni za kipolisi lakini hawatoi taarifa zinazosaidia jamii hususan kwenye utekaji na mauaji ya raia kunakofanywa na polisi.

Ayo Tv imeshindwa hata kupost matamko ya maandamano wala kuhoji raia kama wana mtazamo gani.

Wao wapo bize kulamba kalio za watawala. Wataanguka nao
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa.

Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1.

Alipoulizwa sababu ya kukamatwa akajibiwa kwamba ameandamana ndani ya Ndege.
======
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA, Godbless Lema ameeleza Kuwa alikamatwa siku ya jana Saa 12 kasoro 10 jioni, akiwa ndani ya ndege na polisi 10.

Soma Pia:

Wewe haujaandamana ?tumetiwa moyo mtoto wa mbowe kukamatwa akiwa na baba yake next time lema na tundu lisu wawe frontline ya maandamano na watoto wao tutawaelewa zaidi na tutaandamana
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema amesimulia namna alivyokamatwa.

Anadai alikamatwa kabla hata hajashuka kwenye ndege siku ya Jumapili na kupelekwa kituo cha Polisi Terminal 1.

Alipoulizwa sababu ya kukamatwa akajibiwa kwamba ameandamana ndani ya Ndege.
======
Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa CHADEMA, Godbless Lema ameeleza Kuwa alikamatwa siku ya jana Saa 12 kasoro 10 jioni, akiwa ndani ya ndege na polisi 10.

Soma Pia:

Mbona ww sijakuona mkuu au ww maaandamano yako yapo kwenye JF
 
Back
Top Bottom