Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Lema hajazindua kampeni yoyote acha uongo
 
Ni mapenzi tu toka mioyoni mwa Watanzania wanaojitambua. Eti Chadema ilishajifia! hahahahaha


lema hajazindua kampeni yoyote achen porojo, mkishaona hali mbaya mnatumia uongo sasa
 
Mmefanya mkutano kwenye kauwanja kadogooooo ili tu ionekane pana nyomi, nyoe watu mkoje ?
 
Mmefanya mkutano kwenye kauwanja kadogooooo ili tu ionekane pana nyomi, nyoe watu mkoje ?
Wewe jamaa sikuelewagi, au 'stripper' wewe.
Kijani upo ukija kwa makamanda upo,!
Eleweka Basi usiwe kama kicheche wa buguruni

Wanaume tunaongeaga lugha moja!
 
Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..

Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Umesahau Tunduma labda wachakachuee
 
Nimepitwa Uhondo Arusha nilikuwa nafuatilia hapa Jimbo la Hai live, sikutaka nihadithiwe Mkutano wa Mh. Majaliwa Jimboni maana kaja na Askari wengi wa kukodiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…