Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Uchaguzi 2020 Godbless Lema azindua kampeni kwa Kishindo, uwanja watapika, Wananchi wajazana kupita uwezo wa eneo husika

Mbunge wa milele wa jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema , ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA leo amezindua rasmi kampeni zake za kuomba ubunge kwa mara nyingine tena na kusababisha mafuriko makubwa ya wananchi kiasi cha kusababisha tetemeko...
Lema hajazindua kampeni yoyote acha uongo
 
Ni mapenzi tu toka mioyoni mwa Watanzania wanaojitambua. Eti Chadema ilishajifia! hahahahaha


lema hajazindua kampeni yoyote achen porojo, mkishaona hali mbaya mnatumia uongo sasa
 
Lema anazindulia kampeni pembezoni na hajapata watu...njooni na picha za kweli
Subpost 3 - Mhe. Godbless Lema akiwasha Moto maeneo ya jiji la Arusha.  - SasaBas ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Mhe. Godbless Lema akiwasha Moto maeneo ya jiji la Arusha.  - SasaBas ( 426 X 640 ).jpg


Hapo vipi ?
 
Mbunge wa milele wa jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema , ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA leo amezindua rasmi kampeni zake za kuomba ubunge kwa mara nyingine tena na kusababisha mafuriko makubwa ya wananchi kiasi cha kusababisha tetemeko...
Mmefanya mkutano kwenye kauwanja kadogooooo ili tu ionekane pana nyomi, nyoe watu mkoje ?
 
Mmefanya mkutano kwenye kauwanja kadogooooo ili tu ionekane pana nyomi, nyoe watu mkoje ?
Wewe jamaa sikuelewagi, au 'stripper' wewe.
Kijani upo ukija kwa makamanda upo,!
Eleweka Basi usiwe kama kicheche wa buguruni

Wanaume tunaongeaga lugha moja!
 
Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..

Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Umesahau Tunduma labda wachakachuee
 
Back
Top Bottom